ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Bado hujasema 🤣😂👇Karibia 29 ni maboyoyo
View: https://twitter.com/420Cousin/status/1795743510513242344?t=t0NLsMjJdkqhZsMSGZbzpw&s=19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hujasema 🤣😂👇Karibia 29 ni maboyoyo
Siasa ndio zinaleta mambo mazuri kama haya 👇Nchi hii,Kila kitu ni siasa.
Huyu ndoto yake wakati anasoma sekondari ilikuwa awe air hostess,hivyo anachofanya ni kujaribu kuishi kwenye ndoto yake,jee anavunja sheria yoyote kufanya hivyo? Mwacheni apasue mawingu jamani.Huyu mama ni mzururaji mjomba
Hao mamilioni ya watz ulikutana nao wapi wakakuambia wanamuunga mkono sa100?!.Kinachokusumbua wewe ni chuki zako binafsi kwa Mheshimiwa Rais na serikali yako. Hata hivyo haidhulu maana Mheshimiwa Rais anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania.
KujibebishaUnajua maana ya lobbying?
Napenda kukwambia kuwa Rais wetu kipenzi hasafiri na kwenda nje ya Nchi kama mtalii ,bali anakwenda kwa manufaa ya Taifa letu.ndio maana katika safari na ziara hiyo atafanikisha upatikanaji na makubaliano ya mkopo wa masharti nafuu kabisa ya Dolla Billion 2.5 kwa ajili ya kuwekeza katika miradi mbalimbali ya maendeleo,ambayo itazalisha fursa mbalimbali za ajira kwa vijana, kuchochea maendeleo,kutoa huduma kwa watu,JK party 2
Jamii ya pwani haifai kabisa kupewa mamlaka makubwa kuongoza nchi...wanapenda sana sherehe na kusafiri!.
Uongozi wa Sa100 na ule wa JK unashabihiana sana kwa mengi!.
Endelea kuishi kijima na mawazo ya kijima.Hao mamilioni ya watz ulikutana nao wapi wakakuambia wanamuunga mkono sa100?!.
Jiongelee wewe na uchawa wako, usiuhusishe na wengine.
Tunamtakia Kila la heri Rais Samia kwenye ziara hiyo ya mdau Wetu muhimu wa Maendeleo Korea Kusini.
Ikiwezeoana Awapatanishe Kim wa North Korea na South Korea.
Mwanadiplomasia namba 1 na Bingwa wa Biashara na Uchumi 👇👇
View: https://twitter.com/mfa_tanzania/status/1795450881489387676?t=uQx9AM40cFkizIrgBgoIeg&s=19
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1795696625605640647?t=135X6E_LYITs49bY3-05Aw&s=19
Ni kweli mkuu .Haya ni matakwimu yenu ya kupika kumdanganya huyo mama, mie naongelea kwa ushahidi hali halisi ilivyo huku site!.
Mzunguko wa pesa uko chini sana kibiashara zote, thamani ya pesa yetu bado inazidi kuporomoka chini.
Sasa hv kufanya biashara na nchi majirani kama Kenya na Uganda ni ngumu kwasabb pesa yetu iko hoi dhidi ya pesa yao...kuanzia mwaka jana kurudi nyuma haijawahi kuwa ktk hali hiyo.
Anazitoa wapi?Una akili ww"?
Umejibu kwa hoja nzito sana.Tuliza kichwa na anza kufikiri kwa kutumia ubongo usitumie makalio kufikiri.Hizo nchi ukilinganisha na bongo ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu. Budget ya kwenu inategemea misaada kwa 99.9%, hizo nchi ulizozitaja hapo ndio zinazowapa hio misaada. Jitafakari kabla hujaandika pumba zako hapa.
Hakuna ukweli wa aina yoyote ile hapo zaidi ya porojo tu.Sijaona wivu wowote hapo,alichoeleza ni fact,usiishi kwa kukariri.
Ulikuwa unamuhitaji mwenyewe usitumie kauli ya wingi.JPM katuacha tukiwa Bado tunamwitaji
Rais haendi Ulaya, bali anaenda Asia.Siku zote tunaambiwa Mwafrika ili aone ameyafaidi maisha lazima aende ulaya kula bata yaani tunafanya kama tunaenda peponi vile
Hakuna siku unakubali ukweli unapozidiwa. Kama unabisha kuwa kwenye miaka ya 1960 Korea Kusini hawakua na hali ya kiuchumi isiyopishana sana na nchi yetu tofauti na ilivyo sasa basi sitabishana na wewe katika hili. Jifunze kukubali ukweli hata kama huupendi.Hakuna ukweli wa aina yoyote ile hapo zaidi ya porojo tu.
Achana naye na kusamehe bure tu maana wengine wanakurupuka tu kujibu na kuandika .Rais haendi Ulaya, bali anaenda Asia.