Hana jipya huyo kiguu na njia, mdhururajiMwambie MPIGA MWINGI akishazunguka Huko nje afanye ziara Tanzania nzima ajionee Hali halisi ya miundombinu ilivyochoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana jipya huyo kiguu na njia, mdhururajiMwambie MPIGA MWINGI akishazunguka Huko nje afanye ziara Tanzania nzima ajionee Hali halisi ya miundombinu ilivyochoka
😃😃😃Mimi sijapaniki. Mama anaupiga mwingi sana.Tano Tena kwa MamaPunguza munkari na presha tulia andika vizuri ulipokea basi edit, mbona umepaniki???
Nani hajui mama anaupiga mwingi???
Chuki yako binafsi kwa Mheshimiwa Rais haitakusaidia kitu wala kumkwamisha Mheshimiwa Rais.Hana jipya huyo kiguu na njia, mdhururaji
Asisahau kwenda na wasanii, wakatangaze muziki, wafanya biashara washaenda sana.Ndugu zangu Watanzania,
Taarifa inayoendelea kusambaa Duniani kwote na kugonga vichwa vya habari ,ni kuwa Rais wetu na Jemadari Wetu Daktari Samia Suluhu Hasssan anatarajia kufanya ziara nzito sana ya kikazi Nchini Korea ya Kusini. Ambapo huko anatarajiwa kufanya mazungumzo mazito sana na Rais wa nchi hiyo.
Ambapo ni katika ziara hiyo nzito Tanzania inatarajia kupata mkopo wa masharti nafuu wa kiasi cha Dola za kimarekani Billion 2.5 kwa ajili ya kuwekeza katika miradi ya maendeleo. Narudia kusisitiza hapa mkopo huo ni wa mashariti NAFUU na ambao utawekezwa katika miradi ya maendeleo.ikumbukwe kukopa siyo dhambi bali inategemea unakopa kwa ajili ya nini na mashariti ya mkopo yapoje .ndio maana nimesisitiza hapa kuwa mkopo huo ni wa masharti nafuu kabisa.
Lakini vilevile Rais wetu mpendwa atashiriki mkutano utakaowakutanisha viongozi wa nchi na serikali kati ya Korea na wale kutoka Afrika kuanzia Tarehe 4 June hadi Tarehe 6 June. Ambapo katika mkutano huo Rais wetu mpendwa atapata fursa ya kuhutubia mkutano huo na kushiriki mjadala mzito juu ya kuimarisha masuala ya usalama wa chakula na madini.
Mambo mengi na makubaliano mbalimbali yatashuhudiwa yakifanyika na kusainiwa katika ziara hiyo ya kihistoria kwa Rais wetu kipenzi kuanzia kilimo,madini ya kimkakati,masuala ya sanaa na utamaduni na mengine mengi sana. Ni ziara ambayo tunakwenda kupata na kufaidika na mambo mengi sana.
Lakini pia ziara hiyo itashuhudiwa na Dunia nzima Rais wetu mpendwa akipewa na kutunukiwa Udaktari wa Heshima,kwa kutambua mchango Chanya wa uongozi wake ulioleta mabadiliko chanya katika maeneo mbalimbali.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa,Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na wewe upedi wako umekusaidia niniChuki yako binafsi kwa Mheshimiwa Rais haitakusaidia kitu wala kumkwamisha Mheshimiwa Rais.
KuanNa wewe upedi wako umekusaidia nini
Kuandika tu kunakushinda.Na wewe upedi wako umekusaidia nini
Yaani utaulo ya kike wako kwake umekusaidia niniKuan
Kuandika tu kunakushinda.
Wewe hunaga akili kabisa. Ni wakusamehewa tu wewe.Yaani utaulo ya kike wako kwake umekusaidia nini
Jitahidi kuwa na adabu hata kama umekosa malezi mazuri ya wazazi wako.Kumbukeni tu kuwa huyu angekuwa mama wa nyumbani angekuwa anaenda vigodoro kila ijumaa. Starehe ndio jambo kuu la mtu wa mwambao.
Wewe ungekuwa na akili ungeshinda mitandaoni ukiyatetea na kuyapamba majizi? Dunia inaenda kasi sana wewe unajiita chawa kalne huu ya watu wenye AI!Wewe hunaga akili kabisa. Ni wakusamehewa tu wewe.
Acha ujinga, kwamba huko hakuna Balozi au Waziri wa Wizara husika?Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.au unafikiri anakwenda kule kutalii tu? Hufahamu anakwenda kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu? Hufahami ni katika ziara hiyo kutasainiwa mikataba mbalimbali pamoja na makubaliano mengi katika masuala tofauti tofauti?
Huyu huwa anazunguka huku hajui hata anatafuta ni nini?Safari moja tu ya jirani yetu wa Kenya nchini USA, William Ruto imekuwa na tija kubwa kuliko safari zote zaidi ya 50 za Mama tangu achukue uongozi wa nchi. Tujifunze kwa jirani uzalendo wa ukweli si mambo ya kuchezea kodi za maskini na kwenda kupiga mnada nchi yako kwa faida ya familia yako na washirika wako wachache.
Hana cha kuwaambiaNilishangaa sana juzi kwenda ziara kwa Harmonise huku wafanyakazi wake akiwakimbia mei mosi
Labda mama wazazi wake walimwachia akafundishwa hesabu za kukopa huko shuleni 😁😁Duh!! Tulikuwa tunamkumbuka Magufuli nadhani sasa tutalazimika kumkumbuka hata Kikwete!
Sasa PS kama huyu anakazi gani zaidi ya kupokea maelekezo toka kwa boss wake?Wewe ungekuwa na akili ungeshinda mitandaoni ukiyatetea na kuyapamba majizi? Dunia inaenda kasi sana wewe unajiita chawa kalne huu ya watu wenye AI!
Kwa akili yako hiyo ndogo unataka balozi ambaye yupo chini ya katibu mkuu wa wizara ndio akafanye mazungumzo na makubaliano makubwa na Rais wa Korea? Una akili kweli wewe?😃😃😃Acha ujinga, kwamba huko hakuna Balozi au Waziri wa Wizara husika?
Achana na hili jitu jinga halijitambuiNa wewe upedi wako umekusaidia nini
Hawa wakwetu wanaenda kutembeza bakuri huko ughaibuni.Hivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?