instagramer
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 215
- 492
Ishirini kabisa Mkuu, Tena tu Atakua hajamaliza agenda zake... Mpe twente😃😃😃Mimi sijapaniki. Mama anaupiga mwingi sana.Tano Tena kwa Mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishirini kabisa Mkuu, Tena tu Atakua hajamaliza agenda zake... Mpe twente😃😃😃Mimi sijapaniki. Mama anaupiga mwingi sana.Tano Tena kwa Mama
Acha ujinga wako.Achana na hili jitu jinga halijitambui
Hata ikiwezekana tubadilishe katiba atawale mpaka uchokeIshirini kabisa Mkuu, Tena tu Atakua hajamaliza agenda zake... Mpe twente
Hujaona hapo kuna mkopo wa 2.5bil usd sawa na Tril 7?Hivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?
Vipi ndo tunaendelea "kububujikwa na machozi",au machozi siku hizi yamekwisha 😂Ndugu zangu Watanzania,
Taarifa inayoendelea kusambaa Duniani kwote na kugonga vichwa vya habari ,ni kuwa Rais wetu na Jemadari Wetu Daktari Samia Suluhu Hasssan anatarajia kufanya ziara nzito sana ya kikazi Nchini Korea ya Kusini. Ambapo huko anatarajiwa kufanya mazungumzo mazito sana na Rais wa nchi hiyo.
Ambapo ni katika ziara hiyo nzito Tanzania inatarajia kupata mkopo wa masharti nafuu wa kiasi cha Dola za kimarekani Billion 2.5 kwa ajili ya kuwekeza katika miradi ya maendeleo. Narudia kusisitiza hapa mkopo huo ni wa mashariti NAFUU na ambao utawekezwa katika miradi ya maendeleo.ikumbukwe kukopa siyo dhambi bali inategemea unakopa kwa ajili ya nini na mashariti ya mkopo yapoje .ndio maana nimesisitiza hapa kuwa mkopo huo ni wa masharti nafuu kabisa.
Lakini vilevile Rais wetu mpendwa atashiriki mkutano utakaowakutanisha viongozi wa nchi na serikali kati ya Korea na wale kutoka Afrika kuanzia Tarehe 4 June hadi Tarehe 6 June. Ambapo katika mkutano huo Rais wetu mpendwa atapata fursa ya kuhutubia mkutano huo na kushiriki mjadala mzito juu ya kuimarisha masuala ya usalama wa chakula na madini.
Mambo mengi na makubaliano mbalimbali yatashuhudiwa yakifanyika na kusainiwa katika ziara hiyo ya kihistoria kwa Rais wetu kipenzi kuanzia kilimo,madini ya kimkakati,masuala ya sanaa na utamaduni na mengine mengi sana. Ni ziara ambayo tunakwenda kupata na kufaidika na mambo mengi sana.
Lakini pia ziara hiyo itashuhudiwa na Dunia nzima Rais wetu mpendwa akipewa na kutunukiwa Udaktari wa Heshima,kwa kutambua mchango Chanya wa uongozi wake ulioleta mabadiliko chanya katika maeneo mbalimbali.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa,Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Billioni 31 za dollar au madafu? Kama madafu si kitu cha kujivunia. Wananchi wa Kenya walilalamika lakini ufafanuzi umetolewa. Mama yako anaweza kukupa gharama kiasi gani ameshafuja tangu aanze kwenda safari zisizo na tija? Akirudi ataenda kuzindua album ya nani? Zuchu?Acha unafiki wako wewe..kwani hujaona ziara aliyofanyaga china ilipelekea kusamehewa Deni la takribani Billion 31?
Unafahamu kuwa Rais wa kenya alikodi ndege binafsi ambayo wakenya wanalalamika kuwa imetumia gharama kubwa sana?
Acha ulimbukeni na ushamba ndugu yangu.
Rais wetu anatumia gharama ndogo sana katika ziara zake na ndio maana husikika malalamiko ya gharama kama ambavyo ilitokea kenya. Ni wapi uliona Rais wetu akikodi ndege binafsi kwenda nje ya Nchi?Billioni 31 za dollar au madafu? Kama madafu si kitu cha kujivunia. Wananchi wa Kenya walilalamika lakini ufafanuzi umetolewa. Mama yako anaweza kukupa gharama kiasi gani ameshafuja tangu aanze kwenda safari zisizo na tija? Akirudi ataenda kuzindua album ya nani? Zuchu?
Rais wetu anatumia gharama ndogo sana katika ziara zake na ndio maana husikika malalamiko ya gharama kama ambavyo ilitokea kenya. Ni wapi uliona Rais wetu akikodi ndege binafsi kwenda nje ya Nchi?Billioni 31 za dollar au madafu? Kama madafu si kitu cha kujivunia. Wananchi wa Kenya walilalamika lakini ufafanuzi umetolewa. Mama yako anaweza kukupa gharama kiasi gani ameshafuja tangu aanze kwenda safari zisizo na tija? Akirudi ataenda kuzindua album ya nani? Zuchu?
Tunamtakia Kila la heri Rais Samia kwenye ziara hiyo ya mdau Wetu muhimu wa Maendeleo Korea Kusini.
Ikiwezeoana Awapatanishe Kim wa North Korea na South Korea.
View: https://www.instagram.com/p/C7jGpWPKRht/?igsh=MTJwY21qY29keXlxYQ==
Mwanadiplomasia namba 1 na Bingwa wa Biashara na Uchumi 👇👇
View: https://twitter.com/mfa_tanzania/status/1795450881489387676?t=uQx9AM40cFkizIrgBgoIeg&s=19
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1795696625605640647?t=135X6E_LYITs49bY3-05Aw&s=19
Gharama ndogo ndiyo kiasi gani? Unazo gharama za kila safari aliyokwenda uweke hapa?Rais wetu anatumia gharama ndogo sana katika ziara zake na ndio maana husikika malalamiko ya gharama kama ambavyo ilitokea kenya. Ni wapi uliona Rais wetu akikodi ndege binafsi kwenda nje ya Nchi?
Korea Kusini ni mabingwa wa elimu ya vitendo,Raisi Samia aangalie hilo ili kuongeza ubunifu na elimu ya kujitegemea kwa kizazi kipya.Ndugu zangu Watanzania,
Taarifa inayoendelea kusambaa Duniani kwote na kugonga vichwa vya habari ,ni kuwa Rais wetu na Jemadari Wetu Daktari Samia Suluhu Hasssan anatarajia kufanya ziara nzito sana ya kikazi Nchini Korea ya Kusini. Ambapo huko anatarajiwa kufanya mazungumzo mazito sana na Rais wa nchi hiyo.
Ambapo ni katika ziara hiyo nzito Tanzania inatarajia kupata mkopo wa masharti nafuu wa kiasi cha Dola za kimarekani Billion 2.5 kwa ajili ya kuwekeza katika miradi ya maendeleo. Narudia kusisitiza hapa mkopo huo ni wa mashariti NAFUU na ambao utawekezwa katika miradi ya maendeleo.ikumbukwe kukopa siyo dhambi bali inategemea unakopa kwa ajili ya nini na mashariti ya mkopo yapoje .ndio maana nimesisitiza hapa kuwa mkopo huo ni wa masharti nafuu kabisa.
Lakini vilevile Rais wetu mpendwa atashiriki mkutano utakaowakutanisha viongozi wa nchi na serikali kati ya Korea na wale kutoka Afrika kuanzia Tarehe 4 June hadi Tarehe 6 June. Ambapo katika mkutano huo Rais wetu mpendwa atapata fursa ya kuhutubia mkutano huo na kushiriki mjadala mzito juu ya kuimarisha masuala ya usalama wa chakula na madini.
Mambo mengi na makubaliano mbalimbali yatashuhudiwa yakifanyika na kusainiwa katika ziara hiyo ya kihistoria kwa Rais wetu kipenzi kuanzia kilimo,madini ya kimkakati,masuala ya sanaa na utamaduni na mengine mengi sana. Ni ziara ambayo tunakwenda kupata na kufaidika na mambo mengi sana.
Lakini pia ziara hiyo itashuhudiwa na Dunia nzima Rais wetu mpendwa akipewa na kutunukiwa Udaktari wa Heshima,kwa kutambua mchango Chanya wa uongozi wake ulioleta mabadiliko chanya katika maeneo mbalimbali.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa,Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Embu niambie unafahamu usafiri anaotumia Mheshimiwa Rais katika ziara? Ok tuachane na habari za usafiri wa Mheshimiwa Rais maana ni sehemu ya usalama pia.Gharama ndogo ndiyo kiasi gani? Unazo gharama za kila safari aliyokwenda uweke hapa?
Unawataka wa nini ndugu yangu.Wasanii gani watakuwa kwenye ziara na mama kizimkazi?