Rais Samia kuhojiwa sana huko Marekani inashusha hadhi yake kama Rais na hadhi yake kama Taifa

Rais Samia kuhojiwa sana huko Marekani inashusha hadhi yake kama Rais na hadhi yake kama Taifa

royal tourtz

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2014
Posts
255
Reaction score
326
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, maana kila ninavyofungua kucheki Royal Tour naona yuko kwenye vyombo vya habari akihojiwa na kujibu

Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.

Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.

Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.

MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE
 
Wewe ni poyoyo
Mama ndiye sterling kwenye hiyo movie, sasa unataka wahojiwe simba au swala?
Watazamajj wakiambiwa tutakuwa live na Rais aliyetengeneza fialmu ya Royal tour viewership inakuwa juu sana na ndio kuitangaza ili itazamwe na wengi hatimaye lengo la kuitangaza nchi kiutalii lifikiwe

Sasa unataka Msigwa au Abasi wakaizungumzie? Nani anawajua au atajenga interest ya kuwasikiliza?
Kwa taarifa yako TZ haijulikani kiivo huko duniani achilia mbali hao unaotaka waseme.
Watazamaji watavutiwa tu na neno "president"
 
Kumbuka yeye ni mke wa mtu, mama na bibi wa wajukuu kadhaa....
Muacheni mama afanye na shoping kwaajili ya familia na akimaliza aende akabembee kabla hajarudi nyumbani.
Ila kwajirani kuna msiba mzito, sijui atamtuma nani..!!🙄
 
Ila wabongo Wana bonga poyoyo muda wote, SAA 24 siku 7 za wiki.

IMG_20220417_191913.jpg
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, maana kila ninavyofungua kucheki Royal Tour naona yuko kwenye vyombo vya habari akihojiwa na kujibu

Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.

Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.

Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.

MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE
Kwani lazima kuongea "kizungu" ?
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, maana kila ninavyofungua kucheki Royal Tour naona yuko kwenye vyombo vya habari akihojiwa na kujibu

Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.

Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.

Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.

MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE
Mpaka tukome kuchagua marais ambao ni incompetent/wasio na sifa stahiki.
 
Subirini amalize usa tour, kwani jk si aliwahi kuwa na tour kama hii au hampo nchini?.

Nchi ipo wazi tengenezeni mazingira ya kula kwa urefu wa kamba, msije baadaye kusema bora ya Samia.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, maana kila ninavyofungua kucheki Royal Tour naona yuko kwenye vyombo vya habari akihojiwa na kujibu

Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.

Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.

Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.

MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE
Usipende maisha ya kukariri au kuiga. Hii ziara Ina malengo na madhumuni yake ya kimkakati.
 
😂😂😂😂😂nchi hii kwa comedy
 
Wasaidizi wake wa karibu wakumbushwe wanaye ongozana naye huko kwenye mitaa ya USA ni Mkuu wa nchi. Ukiaangalia lugha ya viwiliwili vyao haiongee hayo maneno.
 
Back
Top Bottom