royal tourtz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 255
- 326
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, maana kila ninavyofungua kucheki Royal Tour naona yuko kwenye vyombo vya habari akihojiwa na kujibu
Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.
Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.
Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.
MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE
Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.
Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.
Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.
MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE