Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
R.i.P Mwai Kibaki...😪Msiba Upi tena mbona ninapitwa Ushimen?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.i.P Mwai Kibaki...😪Msiba Upi tena mbona ninapitwa Ushimen?
Acting President atatuwakilisha, sidhani kawa kaiacha nchi kwa wiki mbili nzima bila kukasimu madaraka.Kumbuka yeye ni mke wa mtu, mama na bibi wa wajukuu kadhaa....
Muacheni mama afanye na shoping kwaajili ya familia na akimaliza aende akabembee kabla hajarudi nyumbani.
Ila kwajirani kuna msiba mzito, sijui atamtuma nani..!!🙄
Tunasubiri state visit ya mama huko Britain baada ya hiyo ya US kukamilika kwa kishindo 😉
Mama Samia ni Rais wa JMT lakini sio Wildlife Proffesional.Wewe ni poyoyo
Mama ndiye sterling kwenye hiyo movie, sasa unataka wahojiwe simba au swala?
Watazamajj wakiambiwa tutakuwa live na Rais aliyetengeneza fialmu ya Royal tour viewership inakuwa juu sana na ndio kuitangaza ili itazamwe na wengi hatimaye lengo la kuitangaza nchi kiutalii lifikiwe
Sasa unataka Msigwa au Abasi wakaizungumzie? Nani anawajua au atajenga interest ya kuwasikiliza?
Kwa taarifa yako TZ haijulikani kiivo huko duniani achilia mbali hao unaotaka waseme.
Watazamaji watavutiwa tu na neno "president"
Wataalamu wa wanyama pori sio lazima wawe wanajua kutangaza biashara ya Utalii. Mama anachofanya ni ku-showcase vivutio vya utalii kwa kutumia filamu aliyoshiriki kuitengeneza.Mama Samia ni Rais wa JMT lakini sio Wildlife Proffesional.
Ingefaa kama angeambatana na crew iliyosheheni wataaluma wa Wildlife Experts ili kwenye maswali ya kitaaluma wafanye kazi yao ipasavyo.
Watanzania hatujui tunachotaka. Miaka yote tunadai Nchi yetu Ina vivutio vingi kuliko nchi nyingi duniani. Hii ni pamoja na Mt Kilimanjaro, Serengeti National Park, Ngorongoro caldera na Stone town ya Zanzibar. Lakini pamoja na vivutio hivyo, nchi yetu haipati mapato ya utalii tunayo stahili kwa kuwa HATUJAJITANGAZA.Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, maana kila ninavyofungua kucheki Royal Tour naona yuko kwenye vyombo vya habari akihojiwa na kujibu
Kuna sehemu sioni kama ni heshima sana kwa Rais kuhojiwa kila mara tena nje ya nchi hali ana crew kubwa tu ambayo anaweza kuitumia kufanya yote hayo.
Au hawaamini hadi yeye mwenyewe ndio ahojiwe lakini kama ambavyo mnajua kuwa kizungu sio lugha yetu inawezekana kabisa akachapia na matokeo yake akafanyika kituko kwenye mitandao ya kijamii ya huko.
Nijuavyo mimi Urais ni nembo kubwa hivyo inalidwa kwa gharama kubwa sana na kuheshimiwa.
MAMA RUDI NYUMBANI INATOSHA SASA. RAHA YA MGENI AKAE SIKU CHACHE SIO HADI WAKUCHOKE
Samia hajakwenda kuwinda wanyama New York. Kule anajitaji wataalamu wa marketing, advertising, public relations na film production.Mama Samia ni Rais wa JMT lakini sio Wildlife Proffesional.
Ingefaa kama angeambatana na crew iliyosheheni wataaluma wa Wildlife Experts ili kwenye maswali ya kitaaluma wafanye kazi yao ipasavyo.
ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜R.i.P Mwai Kibaki...😪
Tunasubiri state visit ya mama huko Britain baada ya hiyo ya US kukamilika kwa kishindo 😉
Kumbuka yeye ni mke wa mtu, mama na bibi wa wajukuu kadhaa....
Muacheni mama afanye na shoping kwaajili ya familia na akimaliza aende akabembee kabla hajarudi nyumbani.
Ila kwajirani kuna msiba mzito, sijui atamtuma nani..!![emoji849]