Rais Samia kuhojiwa sana huko Marekani inashusha hadhi yake kama Rais na hadhi yake kama Taifa

Kumbuka yeye ni mke wa mtu, mama na bibi wa wajukuu kadhaa....
Muacheni mama afanye na shoping kwaajili ya familia na akimaliza aende akabembee kabla hajarudi nyumbani.
Ila kwajirani kuna msiba mzito, sijui atamtuma nani..!!πŸ™„
Acting President atatuwakilisha, sidhani kawa kaiacha nchi kwa wiki mbili nzima bila kukasimu madaraka.
Hii sio Jamhuri ya ndizi.
 
Tunasubiri state visit ya mama huko Britain baada ya hiyo ya US kukamilika kwa kishindo πŸ˜‰

Heshima hii haipotena sikuhizi mama ni kwenda kuzindua movie na hawezi karibishwa WH kwa hilo... ataishia kuongea na akina Kamala full stop. Huko ni kutema upupu tu...umbea wa ki pwani na vijembe.
 
Mama Samia ni Rais wa JMT lakini sio Wildlife Proffesional.

Ingefaa kama angeambatana na crew iliyosheheni wataaluma wa Wildlife Experts ili kwenye maswali ya kitaaluma wafanye kazi yao ipasavyo.
 
Mama Samia ni Rais wa JMT lakini sio Wildlife Proffesional.

Ingefaa kama angeambatana na crew iliyosheheni wataaluma wa Wildlife Experts ili kwenye maswali ya kitaaluma wafanye kazi yao ipasavyo.
Wataalamu wa wanyama pori sio lazima wawe wanajua kutangaza biashara ya Utalii. Mama anachofanya ni ku-showcase vivutio vya utalii kwa kutumia filamu aliyoshiriki kuitengeneza.
 
Watanzania hatujui tunachotaka. Miaka yote tunadai Nchi yetu Ina vivutio vingi kuliko nchi nyingi duniani. Hii ni pamoja na Mt Kilimanjaro, Serengeti National Park, Ngorongoro caldera na Stone town ya Zanzibar. Lakini pamoja na vivutio hivyo, nchi yetu haipati mapato ya utalii tunayo stahili kwa kuwa HATUJAJITANGAZA.

Kwa mfano watu wengi duniani huamini kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya japo unainekana ukiwa Nairobi. Na kwa mantiki hiyo Kenya inapata sana mapato ya utalii kuliko Tanzania.

Hii Royal Your ya Samia ndiyo mkakati mkubwa wa kwanza wenye maana ambao Tanzania inaufanya kwa Dunia toka tupate uhuru kutambulisha vivutio vyetu vya utalii.

Nani kati yetu hapa anafahamu ratiba ya hilo tukio na target audience zaidi ya Peter Greenberg na timu yake? TUNABWAWBWAJA tu

Sasa sielewi tunataka nini maana TUNAPONDA kila ambacho Rais anafanya.
 
Mama Samia ni Rais wa JMT lakini sio Wildlife Proffesional.

Ingefaa kama angeambatana na crew iliyosheheni wataaluma wa Wildlife Experts ili kwenye maswali ya kitaaluma wafanye kazi yao ipasavyo.
Samia hajakwenda kuwinda wanyama New York. Kule anajitaji wataalamu wa marketing, advertising, public relations na film production.
 
Si anajua kizungu kuliko marehemu. Piga kazi mama tumecheleweshwa mnooo kama taifa. Zaidi ya miaka 6
 
Kumbuka yeye ni mke wa mtu, mama na bibi wa wajukuu kadhaa....
Muacheni mama afanye na shoping kwaajili ya familia na akimaliza aende akabembee kabla hajarudi nyumbani.
Ila kwajirani kuna msiba mzito, sijui atamtuma nani..!![emoji849]

Tena shopping ya Eid eti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…