Nashauri yaandaliwe makundi mawili, la kwanza ni la wasomi vyeti na wasomi ajira, ambao wamesoma ili wapate ajira na kila wanachofanya kupitia usomi wao, watahitaji kulipwa ili kuisaidia nchi yao.
Kundi la pili ni la watu wa kawaida tuu ambao sio wasomi bali ni Wazalendo, wakwelina wa taifa lao, ambao wamefuta ujinga kwa kuelimika, hawa hawakusoma ili kupata ajira, hawa wamesoma ili tuu ili kelimika na wanaitumia bure elimu yao kulisaidia taifa lao bure, na hawahitaji malipo yoyote. Hawa wameisha anza kumsaidia Rais Samia kupata katiba mpya bora bila kuhitaji kulipwa chochote.
Miongoni mwa Wazalendo hawa, yupo mwandishi mmoja wa habari na mtangazaji wa kujitegemea, aliyesomea sheria, UDSM na LL.B yake ni hons, ambaye somo alilioongoza ni LW 100 la Katiba lililokuwa linafundishwa na Prof. Issa Shivji, akapiga A ya 100!, utadhani mtihani anatunga yeye!, na baada ya kuhitimu akaitupilia kabatini shahada yake na kuendelea na fani yake ya uandishi wa habari.
Hivyo wakati wasomi vyeti na wasomi ajira mkisubiria kulipwa ili mlisaidie taifa letu kupata katiba bora, sisi Wazalendo ambao sio wasomi, tunaendelea kulisaidia taifa letu bure.
Wanabodi, Utangulizi: Hizi ni makala elimishi kutoa elimu ya uraia kwa watu wa kawaida kuijua katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977. Mtoa Mada ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea kutetea haki katiba na kujitolea kutoa bure elimu ya katiba...
Wanabodi, Leo 30/12/2022 tunapoanza safari ya kuuaga mwaka 2022 hapo kesho na keshokutwa kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 hivyo naomba nianze makala yangu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa kusema "kwaheri 2022, na Karibu 2023, kwa kuwatakia heri ya mwaka mpya 2023 in advance, kwa rai moja tuu...
Nashauri yaandaliwe makundi mawili, la kwanza ni la wasomi vyeti na wasomi ajira, ambao wamesoma ili wapate ajira na kila wanachofanya kupitia usomi wao, watahitaji kulipwa ili kuisaidia nchi yao.
Kundi la pili ni la watu wa kawaida tuu ambao sio wasomi bali ni Wazalendo, wakwelina wa taifa lao, ambao wamefuta ujinga kwa kuelimika, hawa hawakusoma ili kupata ajira, hawa wamesoma ili tuu ili kelimika na wanaitumia bure elimu yao kulisaidia taifa lao bure, na hawahitaji malipo yoyote. Hawa wameisha anza kumsaidia Rais Samia kupata katiba mpya bora bila kuhitaji kulipwa chochote.
Miongoni mwa Wazalendo hawa, yupo mwandishi mmoja wa habari na mtangazaji wa kujitegemea, aliyesomea sheria, UDSM na LL.B yake ni hons, ambaye somo alilioongoza ni LW 100 la Katiba lililokuwa linafundishwa na Prof. Issa Shivji, akapiga A ya 100!, utadhani mtihani anatunga yeye!, na baada ya kuhitimu akaitupilia kabatini shahada yake na kuendelea na fani yake ya uandishi wa habari.
Hivyo wakati wasomi vyeti na wasomi ajira mkisubiria kulipwa ili mlisaidie taifa letu kupata katiba bora, sisi Wazalendo ambao sio wasomi, tunaendelea kulisaidia taifa letu bure.
Wanabodi, Utangulizi: Hizi ni makala elimishi kutoa elimu ya uraia kwa watu wa kawaida kuijua katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977. Mtoa Mada ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea kutetea haki katiba na kujitolea kutoa bure elimu ya katiba...
Wanabodi, Leo 30/12/2022 tunapoanza safari ya kuuaga mwaka 2022 hapo kesho na keshokutwa kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 hivyo naomba nianze makala yangu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa kusema "kwaheri 2022, na Karibu 2023, kwa kuwatakia heri ya mwaka mpya 2023 in advance, kwa rai moja tuu...
Huna elimu yoyote kuwazidi kina prof wajalalani waliobadilisha uelekeo baada yakurushiwa tu-mchele!! Saiv ukimuuliza yakatiba ataanza kufumuka maneno, kutoa macho na mate pembeni ya midomo
Nashangaa wasiotaka katiba uoni wao ni hafifu kiasi gani!? hata Kama wapo katika nafasi zinazowanufaisha kutokana na katiba ambayo ni ukweli usiopingika kwamba ni mbovu kulingana na wakati tulio nao!! Ifike wakati tufikirie na maisha ya watu wengine ambao wanakosa haki zao nyingi kutokana na katiba iliyopo kutokidhi mahitaji ya wakati.
Ebu fikiria mnafanya uchaguzi ambao katiba inasema matokeo ya kura za rais hayatahojiwa na mahakama yoyote!!! Maajabu ya millenia!.
Eti rais halazimiki kufata ushauri wa mtu yeyote hata uwe mzuri kiasi gani,,hii ni pamoja na kutosikiliza mihimili mingine inasemaje!!
Eti rais hatoshitakiwa kwa Jambo lolote atakalotenda kijinai akiwa madarakani na Wala akishatoka madarakani hatawajibika
Eti rais ndo trustee wa ardhi ya nchi.
Eti rais ndo mteuzi wa makamishina wote wa tume ambao watasimamia uchaguzi ambao nae anashiriki.
Eti rais ndo msaini mikataba na Baraza lake huku bunge likinyimwa haki ya kuipitia
Eti rais anateua wabunge 10 wa bure sijui Hawa wanamwakilisha Nani?!
Eti rais ni mteuzi wa wakurugenzi ambao ndio wasimamizi wakuu wa uchaguzi ambao mwajiri nae anagombea.
Haya Mambo yanakubalika Tz tu ambako wananchi wamelishwa limbwata.Kama Samia kayaona haya anataka kwa nia njema atusaidie basi aungwe mkono.
Enyi walafi mliokula nchi hii muda wote ni wakati sasa mtuache na sisi angalau tunufaike.
Mnakuja na nyimbo zenu za kijinga eti uzalendo kumbe mnatunisha vitambi.
Mzalendo nchi hii atakuwa Samia tu endapo atatupatia Katiba mpya nzuri bila kuangalia maslahi ya vibaka wanaopiga kelele.
Watu wanamuangalia Mbowe kienyeji enyeji lakini linapokuja swala la uzalendo kwà nchi basi anaweza kuwa Kati ya wazalendo wachache wa nchi hii.
Nashauri yaandaliwe makundi mawili, la kwanza ni la wasomi vyeti na wasomi ajira, ambao wamesoma ili wapate ajira na kila wanachofanya kupitia usomi wao, watahitaji kulipwa ili kuisaidia nchi yao.
Kundi la pili ni la watu wa kawaida tuu ambao sio wasomi bali ni Wazalendo, wakwelina wa taifa lao, ambao wamefuta ujinga kwa kuelimika, hawa hawakusoma ili kupata ajira, hawa wamesoma ili tuu ili kelimika na wanaitumia bure elimu yao kulisaidia taifa lao bure, na hawahitaji malipo yoyote. Hawa wameisha anza kumsaidia Rais Samia kupata katiba mpya bora bila kuhitaji kulipwa chochote.
Miongoni mwa Wazalendo hawa, yupo mwandishi mmoja wa habari na mtangazaji wa kujitegemea, aliyesomea sheria, UDSM na LL.B yake ni hons, ambaye somo alilioongoza ni LW 100 la Katiba lililokuwa linafundishwa na Prof. Issa Shivji, akapiga A ya 100!, utadhani mtihani anatunga yeye!, na baada ya kuhitimu akaitupilia kabatini shahada yake na kuendelea na fani yake ya uandishi wa habari.
Hivyo wakati wasomi vyeti na wasomi ajira mkisubiria kulipwa ili mlisaidie taifa letu kupata katiba bora, sisi Wazalendo ambao sio wasomi, tunaendelea kulisaidia taifa letu bure.
Wanabodi, Utangulizi: Hizi ni makala elimishi kutoa elimu ya uraia kwa watu wa kawaida kuijua katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977. Mtoa Mada ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na wakili wa kujitegemea kwa kujitolea kutetea haki katiba na kujitolea kutoa bure elimu ya katiba...
Wanabodi, Leo 30/12/2022 tunapoanza safari ya kuuaga mwaka 2022 hapo kesho na keshokutwa kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 hivyo naomba nianze makala yangu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa kusema "kwaheri 2022, na Karibu 2023, kwa kuwatakia heri ya mwaka mpya 2023 in advance, kwa rai moja tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.