Huku sio kunitendea haki!. Nimo humu tangu enzi za Blaza, napandisha mabandiko mawili kila wiki, na kati ya mawili hayo moja pia lina makala ya magazetini.
The speed is the same wakati huu wa Mama, hivyo kitendo cha kujua humu huwa anaingia in person, then nita establishes one to one communications na yeye kwa kubandika baadhi ya mabandiko uni direction beaming at her, akisoma tuu atajijua mlengwa ni yeye hivyo kuchukua hatua kimya kimya!. Yule Blaza wangu nilimsaidia sana, na Mama anahitaji kusaidiwa sana kuliko hata Blaza, kwasababu Blaza alikuwa na very high IQ, kuna vitu huwezi kumdanganya.
Ile siku napandisha bandiko hili nililipandisha saa 5:30 usiku!. Amimi usiamini kuna mtu alipigiwa simu saa 9 usiku na kutukanwa kama mtoto mdogo!.
Aliyetukanwa akatumiwa link, kumuona kumbe mwandishi ni mimi na ananijua, asubuhi akaamka na mimi!.
Hivyo JF inawasaidia sana viongozi wetu na Mama anahitaji kusaidiwa sana!. Msaada mkuu wa kwanza ni kumweleza wengi wanaomchagiza agombee 2025 ni wanamdanya!. Huu ndio msaada mkuu kwa Mama ni ushauri huu
Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke ili ahakikishe vitu muhimu vyote anavilamilisha before October 2025!. Tunaendelea kumshauri
Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
P