Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Kama ni jambo la kawaida mbona Shura ya maimam inataka maelezo??
 
. Sasa mbona una hasira zisizo na maana kiongozi...

. Sijakataa unachosema, niambie hizo technology ulizozungumzia hapo juu kwa hapa Africa ni taifa gani linatumia 🤔🤔.


. Hizo mbinu/mbino za sijui pen umejuaje kuwa hapa TANZANIA hazipo???
 
Tembea. Ni vile seems you are not well informed . Hakuna huo ulinzi unaosema

Labda unazungumzia fujo za kisiasa but fujo za Maisha zipo mno
Watu wanakufa pasipokuwa na tija na taarifq huzipati
. Fujo za Maisha hizo ni kawaida kuuana, mfano huwezi kuzuia mtu kujinyonga au kuchomwa kisu.
 
Kama ni jambo la kawaida mbona Shura ya maimam inataka maelezo??
. Unaweza kuwa mwanadini lakini usielewe mipaka ya dini, mila pamoja na jamii inavyotakiwa kuendeshwa.

. Ningeona hao akina ashura/shura wanaakili zaidi kama wangeambatanisha na vifungu vya maandiko ya Quran, ( lakini umejionea mwenyewe kilicho andikwa)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…