Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Rais Samia kuingia na mlinzi wa kiume msikitini, ni jambo la kawaida. Tuache Mihemko isiyo na Tija

Rais SSH kuingia na mlinzi wa kiume mskitini ni jambo la kawaida kutokana na sababu mbali mbali , hasa kama kuna tishio la usalama au kutokana na idadi kubwa ya watu wanaokusanyika kwa pamoja.

Wamama wote hapo waliomzunguka Rais ama ni maafisa Usalama ama wanakonekshen na TISS kwa namna yyt.Sio rahisi mtu wa kawaida awe karibu hapo sasa nadhan mwanaume alikuwa hapo kuweka negative charge since all of them are positive.So area ikawa neutralized and calm😂😂

Mnaosema mwanaume hakutakiwa kuwa hapo mlitaka awe wap?Kwanza kapendeza ndan ya hijab nyeusi murua kabisa na yeye mwenyewe mweusi na amepiga na makeup yake😂😂😂😂😂😂
 
Rais SSH kuingia na mlinzi wa kiume mskitini ni jambo la kawaida kutokana na sababu mbali mbali , hasa kama kuna tishio la usalama au kutokana na idadi kubwa ya watu wanaokusanyika kwa pamoja.
Maafisa usalama wa kike wana kazi gani Sasa.....ina maana Msikitini kuna usalama mdogo ukilinganisha na anapokuwa nje ya Msikiti. Pengine tunaweza kusema hii ni dharau Kwa walinzi wa kike au wanawake wanasemaje!?
 
Rais SSH kuingia na mlinzi wa kiume mskitini ni jambo la kawaida kutokana na sababu mbali mbali , hasa kama kuna tishio la usalama au kutokana na idadi kubwa ya watu wanaokusanyika kwa pamoja.


Pia soma: Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?
Hakuna sababu yoyote yenye mashiko kuhusu hili. kwa iamni ya kikristo tumekatazwa kuvaa mavazi yampasayo mwamke. kama ni jambo la kawaida kama ulivyosema kwanini asingevaa kawaida tu ama akavaa kanzu?

Kama kulikuwa na tishio la kiusalama kulikuwa na ulazima gani yeye kwenda kwenye mkusanyiko wa wengi huku hali si shwari? kama imani zenu ni haba kwanini muende kuharibu utaratibu wa imani za wengine?
 
Wamama wote hapo waliomzunguka Rais ama ni maafisa Usalama ama wanakonekshen na TISS kwa namna yyt.Sio rahisi mtu wa kawaida awe karibu hapo sasa nadhan mwanaume alikuwa hapo kuweka negative charge since all of them are positive.So area ikawa neutralized and calm😂😂
Mnaosema mwanaume hakutakiwa kuwa hapo mlitaka awe wap?Kwanza kapendeza ndan ya hijab nyeusi murua kabisa na yeye mwenyewe mweusi na amepiga na makeup yake😂😂😂😂😂😂
YISS kwa style iyo ni udhalilishaji,na ni hatari kwa usalama ikiwa Kuna sniper anaanza kuliwa kichwa
 
Rais SSH kuingia na mlinzi wa kiume mskitini ni jambo la kawaida kutokana na sababu mbali mbali , hasa kama kuna tishio la usalama au kutokana na idadi kubwa ya watu wanaokusanyika kwa pamoja.

Tujiepushe na mihemko isiyo na tija na badala yake tufikirie suluhisho zinazojenga na kuheshimu maadili ya jamii husika na kuhakikisha usalama na utulivu wa Rais.

Katika Quran, hakuna aya inayosema moja kwa moja kuwa ni marufuku kwa mwanaume kuingia sehemu ya wanawake msikitini. hadithi za Mtume Muhammad (S.A.W) pamoja na mila na desturi za Kiislamu. Kwa mfano, katika hadithi za Mtume Muhammad (S.A.W), kuna maelekezo yanayohimiza heshima na mipaka baina ya wanaume na wanawake wakati wa ibada ili kuepusha fitna na kudumisha heshima.( kuepusha matamanio ya kimapenzi ndani ya ibada. )

Ibn 'Umar aliripoti kwamba Mtume Muhammad (S.A.W) alisema, "Usiwazuie wanawake wa Allah kwenda kwenye misikiti ya Allah" (Sahih Muslim, Kitabu 4, Hadithi 891). Hadithi hii inaonyesha kwamba wanawake wanaruhusiwa kwenda msikitini, lakini haina amri maalum kuhusu maeneo maalum ndani ya msikiti. Kwa hiyo, mpangilio wa ndani wa msikiti kuhusu maeneo ya wanawake na wanaume unaweza kutegemea mila, desturi, na mantiki za kiutawala za msikiti huo na siyo tamko la S. A. W.

Katika mazingira ambapo kuna haja ya kuwepo na walinzi wa kiume kwa sababu za kiusalama, ni kwamba tunahakikisha hatua hizi zinachukuliwa kwa njia inayoheshimu mipaka ya kijinsia na dini, kulinda usalama bila kuvuruga utulivu wa ibada.( na hiki ndo amefanya RAIS SSH wa JMT)

Mtazamo huu unategemea hadithi kama ile inayosimuliwa na Umm Atiyyah, ambaye alisema kwamba wanawake waliokuwa kwenye hedhi waliambiwa wakae mbali na mahali pa kusalia/swalia wakati wa sala za Eid (imesimuliwa na Al-Bukhari na Muslim)

Surah Al-Baqarah (2:222), "Wanakuuliza habari ya hedhi. Sema: Huu ni unajisi. Basi jitengeni na wanawake wakati wa hedhi, wala msiwakaribie mpaka watwahare.( Tusilaumu sana yawezekana mlinzi wa kike alikuwa kwenye Surah Al-Baqarah 2:222 ).

Pia soma: Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?
Labda upo sahihi.
Swalo ni je? Kwanini hakuvaa kanzu avae dera?
Usije sema kuvaa deara ni Sunna
 
Kama ni jambo la kawaida kulikua na ulazima Gani avae hijabu(disguise) kwanini asingevaa kanzu tu?
Hilo ni wazo lako, wenyewe walifikiria avae ushungi... Sijaona shida hapo.
 
Wamama wote hapo waliomzunguka Rais ama ni maafisa Usalama ama wanakonekshen na TISS kwa namna yyt.Sio rahisi mtu wa kawaida awe karibu hapo sasa nadhan mwanaume alikuwa hapo kuweka negative charge since all of them are positive.So area ikawa neutralized and calm😂😂

Mnaosema mwanaume hakutakiwa kuwa hapo mlitaka awe wap?Kwanza kapendeza ndan ya hijab nyeusi murua kabisa na yeye mwenyewe mweusi na amepiga na makeup yake😂😂😂😂😂😂
Ila kapendeza halafu katulia tuli unaweza mposa Kama hujui.
 
Back
Top Bottom