Rais Samia: Kuisema tu Serikali ina madeni, atakuja mwenye Serikali yake na yeye aje akusute

Rais Samia: Kuisema tu Serikali ina madeni, atakuja mwenye Serikali yake na yeye aje akusute

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Akiwa kwenye mkutano na Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa Rais Samia amesema ni kweli serikali hii ina madeni lakini watu wasiishie tu kusema hivyo, bali waseme pia kwenye uchambuzi madeni hayo yamefanya nini. Akiongeza kuwa serikali ikifanya vizuri watu wasisite pia kusema kuwa serikali sehemu fulani imefanya vizuri.

Amesema "Kuisema tu Serikali ina madeni, atakuja mwenye Serikali yake na yeye aje akusute, matokeo yake mtaishia kurushiana maneno ya kashfa."
 
Akiwa kwenye mkutano na Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa Rais Samia amesema ni kweli serikali hii ina madeni lakini watu wasiishie tu kusema hivyo, bali waseme pia kwenye uchambuzi madeni hayo yamefanya nini. Akiongeza kuwa serikali ikifanya vizuri watu wasisite pia kusema kuwa serikali sehemu fulani imefanya vizuri.

Amesema "Kuisema tu Serikali ina madeni, atakuja mwenye Serikali yake na yeye aje akusute, matokeo yake mtaishia kurushiana maneno ya kashfa."
So what? Naive statement, the bottom line, aseme why is it necessary kukopa, justification tu ya kukopa, uwezo wa kulipa
 
Tunafahamu Dr Samia.
- Unajenga Reli Morogoro kwenda Dodom-Singida-Tabora-Shinyanga-Mwanza. Pia Tabora kwenda Kigoma.

SHULE za kata zote zimepata madarasa Kuanzia nane mpaka kumi (kwenye kata Covid manne na sasa kumi)

- Vijijini visima vya maji vinajengwa.

- Vituo vya afya kila tarafa na kila kata.

- Barabara Vijijini zinafanyiwa ukarabati na nyingine zinatengenezwa.

-Ajira majeshini, sekta za afya,Elimu

-Miradi ya mtangulizi wako yote unaikamilisha hakuna ulioukacha.


Piga kazi Mama Samia
 
Tunafahamu Dr Samia.
- Unajenga Reli Morogoro kwenda Dodom-Singida-Tabora-Shinyanga-Mwanza. Pia Tabora kwenda Kigoma.

SHULE za kata zote zimepata madarasa Kuanzia nane mpaka kumi (kwenye kata Covid manne na sasa kumi)

- Vijijini visima vya maji vinajengwa.

- Vituo vya afya kila tarafa na kila kata.

- Barabara Vijijini zinafanyiwa ukarabati na nyingine zinatengenezwa.

-Ajira majeshini, sekta za afya,Elimu

-Miradi ya mtangulizi wako yote unaikamilisha hakuna ulioukacha.


Piga kazi Mama Samia
Asante kwa muongozo huu.mama kanyaga twende tumecheleweshwa mnooo kama taifa.
 
Duhh! Anatumia nguvu kubwa kuhalalisha madeni.

ni sawa na kutetea gongo kuwa inasomesha watoto na kununua mahitaji ya familia.

Wewe hujakopa? Kwanini mkope kutimiza malengo yenu lakini serikali isikope kutimiza malengo yake?
 
Ni rahisi tu kukopa maana mzigo wa kulipa anabebeshwa mwananchi tozo ambaye tayari yupo hoi kwa hali duni ya maisha, hakuna ajira, vitu vimepanda bei, pesa hakuna kwenye mzunguko imeenda kulipa madeni, nk.nk......
 
Hv wakuu mnaonaje. Tunadaiwa trillion 90 hv. Tuamue miaka kama mitano hivi tuwe tunalipa tu madeni tusifanye maendeleo( angalao trillion 15 Kila mwaka) 🤣🤣🤣🤣 then baada ya hapo tuwe huru 🤔🤔
 
Back
Top Bottom