CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hapati ng'o !!!!!Muache Lucas soon tunapata teuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapati ng'o !!!!!Muache Lucas soon tunapata teuzi
Wewe ndo Mungu?🤔Hapati ng'o !!!!!
Nimefanya nini ndugu yangu mtanzania😁😁😁 Ila we jamaa duh 😂😂😂😂
Mimi nina kuamini sana ephenLucas una elements za utapeli! Hiyo nchi mbona haijatikisika sasa?🤔
Haya mazingira anayojitengenezea mwenyewe ndiyo yanamtoa kwenye kinyang'anyiro cha kuteuliwa,kwani wewe huoni anavyotoa boko?Wewe ndo Mungu?🤔
wewe ndio utakuwa unaumia with your great expectationsUnaumia ukiwa wapi huko?
Dogo wacha upumbavu uende mbinguni wewe.Acha ujinga wako hapa wewe
Kumbe mama D upo? Umeanza kama yale ya kipindi cha mwendazake , pole na majukum tukutane tena kwenye mlima wa maombi
Ndo maana nasema tukutane kwenye mlima wa maombi maana yanayoendelea yanasikitisha sana , hatutaruhusu tena taifa hili mapichapicha kuendelea ,Amina 4 7mbatizaji
Usisahau Mama President ni zao la JPM
Ilikua hapa kazi tuu na sasa Kazi inaendelea
Labda akutetemeshe wewe na mumewako faiza foxyNaona umeamka na mahasira yako.
Unasukumwa mbolea yakoBasi na wewe lima hapa kama ni shambani.
Mimi siumii bali nina furaha kubwa sana na amani moyoni Mwangu.ndio maana unaona nikiwa mtulivu ,tofauti na wewe ambaye inaonyesha unaumia na kwenda mbio moyo wako utafikiri unakimbizwa milimani.wewe ndio utakuwa unaumia with your great expectations
Acha kupostiposti utumbo wewe ngedere wa kikeMimi siumii bali nina furaha kubwa sana na amani moyoni Mwangu.ndio maana unaona nikiwa mtulivu ,tofauti na wewe ambaye inaonyesha unaumia na kwenda mbio moyo wako utafikiri unakimbizwa milimani.
Ndo maana nasema tukutane kwenye mlima wa maombi maana yanayoendelea yanasikitisha sana , hatutaruhusu tena taifa hili mapichapicha kuendelea ,
Tatizo umenitenga sana ,mpaka nilitaka kuomba jf check, ili nijue umepotelea wapiTuko mlimani wiki sasa
Njoo tuongeze nguvu
Luca....... Luca ........ Luca....nakuita mara 3......acha maneno hayo...Mlisema hivyo kwa Marehemu Magufuli...... 🙂 🙂 🙂Rais Samia ni Chaguo la Mungu na watanzania
Tatizo umenitenga sana ,mpaka nilitaka kuomba jf check, ili nijue umepotelea wapi
Rais Samia Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi ni chaguo la Mungu na aliye pewa kibali na MunguLuca....... Luca ........ Luca....nakuita mara 3......acha maneno hayo...Mlisema hivyo kwa Marehemu Magufuli...... 🙂 🙂 🙂