Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Hizo hela alizichapishia wapi hadi iwe siri kwa dunia? Na aliziingiza vipi kwenye vitabu vya serikali kwa situ kubalance vitabu au unadhani unaweza kuiongopea dunia kwenye deni lako la ndani.

Huwa mnaishi kwenye dunia yenu na kudhania kila kitu ni kujiropokea tu kama mpo uwanja wa mwembe yanga.

Unajua madhara ya kuchapisha hela au unajiongelea tu.
Kama ambavyo nimeeleza awali, sina haja ya kubishana na wewe. Mimi niliishia std 2 wewe ni mchumi mbobevu.
 
Yaani basi tu hii nchi Kama vipi mikoa ijitenge iwe nchi. Wapo wengine watabidi wajiuze kabisa kwa wenye mikoa mingine yenye nguvu na chakula na madini ya kufa mtu.
Yaani tungewabana kabisa kwenye madini na gesi miktaba ingekaa kimaslahi na sio kutajirisha Koo fulani nadhani tungeenda mbali Sana.
 
Kwa ninavyoona, mama anazisaka pesa sana, shida ni walaji, zikitua tu,watu wanazila halafu zile chache wanatuzugia kupeleka maeneo husika. Upigaji kwenye ma-halmashauri unasemwa kua ni Mkubwa sana, achilia sehemu nyingine. Pole yao wale ambao walitumbulia enzi za mzee JPM,maana wenzao duuuh! wanakula raha mstarehe.
Unawajua miongoni mwa walaji au una hamka.tuu?

Kwenye miradi ya P4R inayotolewa na wafadhili kwenye maji na elimu wameamua kuongeza ufadhili wao baada ya kuona matokeo mazuri ya usimamizi wa Fedha.
 
Kukopa ni sawa lakini je zinatumikaje? Si zinakuja tu kugawanwa na haya majibwa na tai yenye matumbo yasiyoshiba kamwe? Pathetic!

View attachment 2221972
Acha utoto na kuropoka bure..Hakua wa Kukopa pesa Ili wewe ununue mafuta bei Chee na mimi napinga hilo kwa nguvu zote..

Pesa inakuja kwa ajili ya kufanya Kazi kwenye sekta hizi hapa 👇

Screenshot_20220513-105430.png


Screenshot_20220513-110017.png
 
Kwa hiyo wewe unaona ni pesa nyingi sana hiyo sio? Yaani Til.2 ndio imekuchanganya? Maskini wa akili na mali 😄😄

Aisee Machadomo kichwani hamna kitu khaa,hivi unajua bajeti yetu ni dola bil.ngapi?
Kama 2 trilion ni kidogo Kwanini mnataka kukopa fedha kidogo?
 
Unawajua miongoni mwa walaji au una hamka.tuu?

Kwenye miradi ya P4R inayotolewa na wafadhili kwenye maji na elimu wameamua kuongeza ufadhili wao baada ya kuona matokeo mazuri ya usimamizi wa Fedha.
Huko MSD ambako waziri mkuu anadai 215 milion zimeliwa na watumishi watatu,huoni huo ni ushahidi kua pesa zinaliwa hovyo,na wahusika hawachukuliwi hatua stahiki?
Unafikiri kipindi cha Magu ingeishia kusema tu hivyo?
Mama naye anasema wale kulingana na urefu wa kamba zao,huoni huo ni uhalalishaji wa utafunaji pesa?
Utakua ginger kama unahitaji ushahidi wowote.
 
Bi mikopo yuko kazini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huko MSD ambako waziri mkuu anadai 215 milion zimeliwa na watumishi watatu,huoni huo ni ushahidi kua pesa zinaliwa hovyo,na wahusika hawachukuliwi hatua stahiki?
Unafikiri kipindi cha Magu ingeishia kusema tu hivyo?
Mama naye anasema wale kulingana na urefu wa kamba zao,huoni huo ni uhalalishaji wa utafunaji pesa?
Utakua ginger kama unahitaji ushahidi wowote.
Kwani walivyokula wameachwa?
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901

Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1 Billion Funding Request

An International Monetary Fund team is in Tanzania for talks on the East Africa nation’s request for a three-year financing package of $1.1 billion.

President Samia Suluhu Hassan is seeking the funds to support the nation’s recovery from the coronavirus pandemic, her spokeswoman, Zuhura Yunus, told reporters in the commercial hub of Dar es Salaam on Thursday.


Hassan told Bloomberg News in an interview in March that her administration was seeking at least $700 million from the IMF. Securing additional funding from multilateral lenders is part of Hassan’s wider plan to boost Tanzania’s fiscal position by taking on more concessional loans.

The IMF in September raised the nation’s risk of debt distress to moderate, from low, after the government ramped up commercial borrowings in recent years, including about $1.5 billion from Standard Chartered Plc to help fund construction of a new railroad.
Mama tafuta pesa tunakutia moyo,vijana hawawezi ajiriwa bila pesa
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901

Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1 Billion Funding Request

An International Monetary Fund team is in Tanzania for talks on the East Africa nation’s request for a three-year financing package of $1.1 billion.

President Samia Suluhu Hassan is seeking the funds to support the nation’s recovery from the coronavirus pandemic, her spokeswoman, Zuhura Yunus, told reporters in the commercial hub of Dar es Salaam on Thursday.


Hassan told Bloomberg News in an interview in March that her administration was seeking at least $700 million from the IMF. Securing additional funding from multilateral lenders is part of Hassan’s wider plan to boost Tanzania’s fiscal position by taking on more concessional loans.

The IMF in September raised the nation’s risk of debt distress to moderate, from low, after the government ramped up commercial borrowings in recent years, including about $1.5 billion from Standard Chartered Plc to help fund construction of a new railroad.
Zanzibar wanatabasamu kwa mgao ujao japo kwenye kuulipa hawatahusika maana chao ni chao ila chetu chao 😁😁
 
Mimi si mtaalamu wa haya mambo ya fedha na mikopo ya hizi taasisi najaribu kujibu kienyeji.

Jibu: Watalazimisha nchi yetu ijitangaze mufilisi na tuchukue austerity measures kama Ugiriki, Cyprus na Malta miaka ya karibuni.
Hapo siye watu wa chini itakuwa kilio na wawekezaji toka nje watachukua pesa zao wataondoka.

Mifano ni European dept crisis miaka ya 2008 huko kama sikosei.

KEY POINTS from investopedia website:
  • Austerity measures refer to economic policies implemented by governments to reduce government spending in order to reduce public debt and to shrink the budget deficit.
  • Policies that are considered austerity measures include an increase in taxes, cutting back on government programs, such as healthcare services and aid to veterans, a reduction in pensions, and a reduction in salaries and wages for government employees.
  • Depending on how austerity measures are implemented, they can make life difficult for citizens due to less available social services and less disposable income.
Nikushukuru sana mkuu 'Titicom' kwa mchango wako huu mzuri.

Hizi "austerity measures" hawa jamaa wanapenda sana kuzitumia mara kwa mara. Juzi wamejaribu kuwalazimisha Kenya wasiweke ruzuku kwenye mafuta, Kenya wakawagomea, na bado wanaendelea kutoa pesa.

Kwa hiyo, hizi 'austerity measures' zinajadilika; mradi tu tuwe na viongozi wajanja,kama huyu tuliye naye, badala ya kutumia lugha kali kukataa matakwa yao, anawalainisha kwa lugha nyororo, huku tukiendelea kugoma kulipa deni lao.

Jambo muhimu ambalo ninalikazia hapa, ni hiyo mikopo tunayoichukua kutoka kwao iwe imefanya kazi iliyopangiwa na kuikamilisha vizuri; halafu, hatukatai kabisa kuwa tuna deni nao, ila tunalipa kufuatana na uwezo wetu.

Tatizo ninaloliona kwetu, ni kuchukua mikopo, kama huu wa bilioni ya kulipa ruzuku ya mafuta. Mikopo kama hii ni ya kipuuzi kabisa.

Sijawahi kusikia wakichukua mkopo kwa ruzuku ya mbolea ili wakulima wetu wafanikishe kilimo! Hata wakichukua mkopo kama huo ni sehemu ndogo tu ya pesa inayotumika kununulia mbolea, na kiasi kikubwa hakijulikani kinapokwenda. Haya ndiyo matatizo yetu.
 
Back
Top Bottom