SINGLE WINDOW
JF-Expert Member
- Sep 2, 2021
- 356
- 278
Umepigwa pekeyake sisi ni rais materialHuyu mama tumepigwaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umepigwa pekeyake sisi ni rais materialHuyu mama tumepigwaaaa
Huyo hangaya tumepigwaUmepigwa pekeyake sisi ni rais material
Nimejikuta nachekaKukopa ni sawa lakini je zinatumikaje? Si zinakuja tu kugawanwa na haya majibwa na tai yenye matumbo yasiyoshiba kamwe? Pathetic!
View attachment 2221972
Kama ambavyo nimeeleza awali, sina haja ya kubishana na wewe. Mimi niliishia std 2 wewe ni mchumi mbobevu.Hizo hela alizichapishia wapi hadi iwe siri kwa dunia? Na aliziingiza vipi kwenye vitabu vya serikali kwa situ kubalance vitabu au unadhani unaweza kuiongopea dunia kwenye deni lako la ndani.
Huwa mnaishi kwenye dunia yenu na kudhania kila kitu ni kujiropokea tu kama mpo uwanja wa mwembe yanga.
Unajua madhara ya kuchapisha hela au unajiongelea tu.
Unawajua miongoni mwa walaji au una hamka.tuu?Kwa ninavyoona, mama anazisaka pesa sana, shida ni walaji, zikitua tu,watu wanazila halafu zile chache wanatuzugia kupeleka maeneo husika. Upigaji kwenye ma-halmashauri unasemwa kua ni Mkubwa sana, achilia sehemu nyingine. Pole yao wale ambao walitumbulia enzi za mzee JPM,maana wenzao duuuh! wanakula raha mstarehe.
Acha utoto na kuropoka bure..Hakua wa Kukopa pesa Ili wewe ununue mafuta bei Chee na mimi napinga hilo kwa nguvu zote..Kukopa ni sawa lakini je zinatumikaje? Si zinakuja tu kugawanwa na haya majibwa na tai yenye matumbo yasiyoshiba kamwe? Pathetic!
View attachment 2221972
Kwa hiyo wewe unaona ni pesa nyingi sana hiyo sio? Yaani Til.2 ndio imekuchanganya? Maskini wa akili na mali 😄😄1billion USD from IMF!??? Tutauzwa tunakoelekea.
Kama 2 trilion ni kidogo Kwanini mnataka kukopa fedha kidogo?Kwa hiyo wewe unaona ni pesa nyingi sana hiyo sio? Yaani Til.2 ndio imekuchanganya? Maskini wa akili na mali 😄😄
Aisee Machadomo kichwani hamna kitu khaa,hivi unajua bajeti yetu ni dola bil.ngapi?
Huko MSD ambako waziri mkuu anadai 215 milion zimeliwa na watumishi watatu,huoni huo ni ushahidi kua pesa zinaliwa hovyo,na wahusika hawachukuliwi hatua stahiki?Unawajua miongoni mwa walaji au una hamka.tuu?
Kwenye miradi ya P4R inayotolewa na wafadhili kwenye maji na elimu wameamua kuongeza ufadhili wao baada ya kuona matokeo mazuri ya usimamizi wa Fedha.
Kwani walivyokula wameachwa?Huko MSD ambako waziri mkuu anadai 215 milion zimeliwa na watumishi watatu,huoni huo ni ushahidi kua pesa zinaliwa hovyo,na wahusika hawachukuliwi hatua stahiki?
Unafikiri kipindi cha Magu ingeishia kusema tu hivyo?
Mama naye anasema wale kulingana na urefu wa kamba zao,huoni huo ni uhalalishaji wa utafunaji pesa?
Utakua ginger kama unahitaji ushahidi wowote.
Kwa sababu hazina effects Sana kwenye Uchumi na ni rahisi kulipika na pia ni mkopo wa mda mrefu na riba kiduchu..Kama 2 trilion ni kidogo Kwanini mnataka kukopa fedha kidogo?
Mama tafuta pesa tunakutia moyo,vijana hawawezi ajiriwa bila pesaHuku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!
View attachment 2221901
Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1 Billion Funding Request
An International Monetary Fund team is in Tanzania for talks on the East Africa nation’s request for a three-year financing package of $1.1 billion.
President Samia Suluhu Hassan is seeking the funds to support the nation’s recovery from the coronavirus pandemic, her spokeswoman, Zuhura Yunus, told reporters in the commercial hub of Dar es Salaam on Thursday.
Hassan told Bloomberg News in an interview in March that her administration was seeking at least $700 million from the IMF. Securing additional funding from multilateral lenders is part of Hassan’s wider plan to boost Tanzania’s fiscal position by taking on more concessional loans.
The IMF in September raised the nation’s risk of debt distress to moderate, from low, after the government ramped up commercial borrowings in recent years, including about $1.5 billion from Standard Chartered Plc to help fund construction of a new railroad.
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com
Zanzibar wanatabasamu kwa mgao ujao japo kwenye kuulipa hawatahusika maana chao ni chao ila chetu chao 😁😁Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!
View attachment 2221901
Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1 Billion Funding Request
An International Monetary Fund team is in Tanzania for talks on the East Africa nation’s request for a three-year financing package of $1.1 billion.
President Samia Suluhu Hassan is seeking the funds to support the nation’s recovery from the coronavirus pandemic, her spokeswoman, Zuhura Yunus, told reporters in the commercial hub of Dar es Salaam on Thursday.
Hassan told Bloomberg News in an interview in March that her administration was seeking at least $700 million from the IMF. Securing additional funding from multilateral lenders is part of Hassan’s wider plan to boost Tanzania’s fiscal position by taking on more concessional loans.
The IMF in September raised the nation’s risk of debt distress to moderate, from low, after the government ramped up commercial borrowings in recent years, including about $1.5 billion from Standard Chartered Plc to help fund construction of a new railroad.
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com
Nikushukuru sana mkuu 'Titicom' kwa mchango wako huu mzuri.Mimi si mtaalamu wa haya mambo ya fedha na mikopo ya hizi taasisi najaribu kujibu kienyeji.
Jibu: Watalazimisha nchi yetu ijitangaze mufilisi na tuchukue austerity measures kama Ugiriki, Cyprus na Malta miaka ya karibuni.
Hapo siye watu wa chini itakuwa kilio na wawekezaji toka nje watachukua pesa zao wataondoka.
Mifano ni European dept crisis miaka ya 2008 huko kama sikosei.
KEY POINTS from investopedia website:
- Austerity measures refer to economic policies implemented by governments to reduce government spending in order to reduce public debt and to shrink the budget deficit.
- Policies that are considered austerity measures include an increase in taxes, cutting back on government programs, such as healthcare services and aid to veterans, a reduction in pensions, and a reduction in salaries and wages for government employees.
- Depending on how austerity measures are implemented, they can make life difficult for citizens due to less available social services and less disposable income.
Kwa hizi ripoti za CAG??Hiyo itakuwa ni stimulus loan kwa ajili ya kusawazisha hali ya kiuchumi.......muhimu ni hiyo mikopo kutumika kuleta tija zaidi.