Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Rais Samia kukubali kukutana CHADEMA ni kuwasaliti Watanzania wazalendo

Nyie mambumbumbu hamjui hii nchi ni ya kidemokrasia na vyama vingi vipo kikatiba.
Sijui mna akili au ukoko kichwani?

Amani ya nchi ni majadiliano si kutishana.
Marehemu aliishajianda kuvifuta kupitia bungedemka, ili atawale milele. Alipodhani kashinda alijikuta kafutwa yeye. Yamebaki masalia pamoja na kuwa na ubishi kama kutu, ni swala muda tu YATAFUTIKA.
 
Ngoja tumwache Mama afanye anavyoona ni sahihi kwake, lakini ajue sisi CCM kindakindaki hatufurahii.
 
Hiki chama cha siasa kinachoitwa Chadema kimejaa wanasiasa wanafiki na wajali matumbo yao. Hawana nia njema na taifa letu. Sio wa kuwakaribisha ikulu kabisa.

Kipindi taifa letu linapambana na janga la Korona mwaka jana walitoka bungeni na kutaka tuweke Lockdown. Walikuwa wakipotosha kuwa watu zaidi ya mia tano wanakufa na kuzikwa usiku.

Ndege zetu zilipokamatwa walifurahi na kupiga mayowe kana kwamba wao sio watanzania huku wakiliombea mabaya taifa letu ili ndege ziuzwe.

Kwa ufupi hii ni baadhi ya scenario zinazoonyesha kuwa hawa watu hawafai na sio wazalendo.

Hivyo haikupaswa kuwakaribisha kabisa ikulu maana ni chama hata wananchi walishajua hakifai. Umetusaliti wazalendo.
Bwana Idungude,
Hivi wewe una akili tumamu au ni muokota makopo jalalani?
Acha UNAFIKI NA USHAMBEGA WA KUTAKA KUMCHONGANISHA RAIS NA WATZ WENGINE AMBAO SIO WANA- CCM !!
Inaelekea wewe ndo wale Marehemu JPM mlikuwa mnamlisha matango pori na anawasikiliza!!! Hivi unajua maana ya kuiponya nchi kutokana na CHUKI AMBAYO IMEJENGEKA KATI YA CCM VS VYAMA VINGINE VYA SIASA AY WAROPOKWA TU??
 
Bwana Idungude,
Hivi wewe una akili tumamu au ni muokota makopo jalalani?
Acha UNAFIKI NA USHAMBEGA WA KUTAKA KUMCHONGANISHA RAIS NA WATZ WENGINE AMBAO SIO WANA- CCM !!
Inaelekea wewe ndo wale Marehemu JPM mlikuwa mnamlisha matango pori na anawasikiliza!!! Hivi unajua maana ya kuiponya nchi kutokana na CHUKI AMBAYO IMEJENGEKA KATI YA CCM VS VYAMA VINGINE VYA SIASA AY WAROPOKWA TU??
Nationalism is a desire to protect our nation interest.
 
Back
Top Bottom