Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha unafki..Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa kweli.
Itakuwa wewe ni kipofu wa akili na machoKila siku kutia Saini mikataba na faida yake haionekani.tunapata zero.hovyo kabisa
fuata weweUsigune fuata maelekezo
Nimeshasema kuwa naomba usiguse mboni yangu.ephen ndio mboni yangu.kumgusa ephen ni sawa na kutangaza vita au kwenda kuchungia ng'ombe kwenye kambi ya jeshifuata wewe
haya sawa sitagusa mboni yako!Nimeshasema kuwa naomba usiguse mboni yangu.ephen ndio mboni yangu.kumgusa ephen ni sawa na kutangaza vita au kwenda kuchungia ng'ombe kwenye kambi ya jeshi
Naona ikulu ya Dodoma mmeamua kuisusa.Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kumpokea Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau, Mhe. Umaro Sissoco Embaló tarehe 22 Juni, 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam
Mkuu nchi imeiharibika,Sasa ni muda wa kugawana fito.Naona ikulu ya Dodoma mmeamua kuisusa.
Gharama zote za kuijenga na File kelele za kuhamia Dom zimeshasahaulika.
Ccm zimwi..!
Ikulu zote zinatumika bila shida yoyote ile maana zote ni zetu na hakuna ambayo tumepanga.Naona ikulu ya Dodoma mmeamua kuisusa.
Gharama zote za kuijenga na zile kelele za kuhamia Dom zimeshasahaulika.
Ccm zimwi..!
Watu na nyama zetu!🤸wewe na ephen kibonge mutakuepo
Masikini na masilini mnajadili nini ? Kuiba kura mbaki madarakani milele ? Non sense....tunataka wawekezaji viwanda vitoe ajira.....wananchi wengiNdugu zangu watanzania,
Naomba nisiwachoshe wala kuwapotezea muda wenu.someni wenyewe hapa chini.
Kazi iendelee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
---
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kumpokea Rais wa Jamhuri ya Guinea-Bissau, Mhe. Umaro Sissoco Embaló tarehe 22 Juni, 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam ambae atakuwa nchini kwa ziara ya kikazi.
Hii ni mara ya kwanza kwa Rais wa Guinea-Bissau kufanya ziara nchini Tanzania tangu nchi hiyo ipate uhuru.
Ziara hiyo itatoa fursa kwa nchi zote mbili kuimarisha ushirikiano na uhusiano ambao umedumu kwa muda mrefu ulioasisiwa na Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Hayati Amilcar Cabral wa Guinea-Bissau wakati wa kupigania uhuru.
Wakati wa ziara hiyo, Marais hao wawili wanatarajia kuongoza mazungumzo rasmi ya kiserikali kati ya Tanzania na Guinea-Bissau na kushuhudia utiaji saini wa Mkataba wa Ushirikiano (General Framework Agreement) ambao utaongeza mahusiano kati ya nchi hizi mbili.
Mbali ya mazungumzo na Rais Samia, Rais Embaló atatembelea Mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), Eneo Huru la Uwekezaji kwa Mauzo ya Nje (EPZA) na Makao Makuu ya Sekretarieti ya Taasisi ya Viongozi wa Afrika ya Kukabiliana na Ugonjwa wa Malaria (ALMA) yaliyopo hapa nchini, ambapo yeye ni Mwenyekiti wa ALMA.
View attachment 3022535
View attachment 3022540
Umaro Sissoco Embaló, Rais wa Guinea Bissau
Acha ujinga wako hapaDora the explorer alivyo mkarimu baada ya kumpokea anaweza kujitolea kumsindikiza pia huyo mgeni mpaka nchi yake na akafikia huko akajialika kwa ziara ya 3 huko huko.