beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo