Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Nchi ni mali yake binafsi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Uraisi kazi yake ni kufinya watu?Akianza kuwafinya msilie
Kuna tofauti kati ya watusi na watutsi,Januari ambaye ameiweka nchi gizani ni Muha? sorry mtusi?
Acha ubaguzi wewe ..
Yupo hoiKumbe kuna makundi ya watu wa cdm ndani ya serekali yake!!!
Waliomsweka na aliyeswekwaacha akina mkwere wamdanganye tuu, akileta ujinga tuna mweka ndani kama tulivyo wasweka akina abdujumbe
Umeonaeeeee?Yupo hoi
muwe na adabu kwa mama 😀Amna kitu mama anachimba mikwara,kwanza ukali sio haiba yake akikasirika ndo kwanzaa jicho linanawiri.
Na yeye anapenda kifua cha Tembo a k a HarmonizerDah huyu mama mi nampendea kucha zake... yaani namzimia kinoma.
Yupo kama Iddy Seleman NadoAnaupiga mwingi.
Hatakiwi kulalamika bali kuchukua hatua
Mkuu mjenzi wa kipande cha Makutopora - Tabora bado ni Mturuki?Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo
Kweli???? jamaniNa yeye anapenda kifua cha Tembo a k a Harmonizer
Wakiamua kufurukuta wanaitwa sukuma gang!kwanini majaliwa asiwe moto ili kubalans jamani.
kama rais hana haiba ya ukali tusimlazimishe,basi ampe jeuri waziri mkuu ili amsaidie kudili na waharibifu..
Mimi nahisi tatzo ni utashi wake..naamini majaliwa akipewa rungu atawapukutisha mchwa wanaohujumu kazi yake..
Huku kupoapoa kwa majaliwa na wenzake kunaweza kuwa na sababu..
Haiwezekani Rais, makamu, waziri mkuu wote wakawa toothless.
yaani mawaziri mwenye kujiamini na mwenye kauli ni mwigulu na ummy tu! Wengne baki ni majongoo.
Balaa tupuUmeonaeeeee?
Hapo ni sawa na kumuahidi mwanao pipi kila siku ukiondoka nyumbani anakulilia, unamwambia nikirudi nakuletea pipi, jioni vile kasahau na wewe hukununua hivyo maisha yanaendelea kwa njia hiyo na mwisho wa siku kila mtu anazoea na hakuna jipya.Anaongea maneno matupu, vitendo sifuri
Atamfinya nani PoleAkianza kuwafinya msilie