kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Samia unalia nini katiba katiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaupiga mwingi.Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo
Amna kitu mama anachimba mikwara,kwanza ukali sio haiba yake akikasirika ndo kwanzaa jicho linanawiri.
Ngoja tu nicheke...Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo
Nasikia kaenda Songea usiku wa kuamkia leo kwa chopa na hawajamkamata 😄Mwingira kakimbia,mama hakubali
By Jakaya Mrisho Khalfan KikweteEscrow siyo fedha za umma!
Januari ambaye ameiweka nchi gizani ni Muha? sorry mtusi?Hivi inashindikana kukamata hawa watusi?
Au mama ana huruma?
Acheni matusi jamani huyu ni rais mujueee
Ni wale waliokuwa wanataka commutative tendering eti ili thamani ya pesa ionekane. Hapo alikuwa anawasema PPRARais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo
Si hawa ndo haswa wanaopaswa kusimamia! Au walikuwa wanasimamia SIDO na wizara ya michezo?Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo
Kama yapi hayo yaliyomshinda?Atafanya nini sasa wakati mambo mengi tu yameisha mshinda maneno mengi wakati mambo yako vile vile
[emoji38][emoji38][emoji38] punguza panic broTulia msumari ukuingie mwizi wa mali za chama... nyie shwaini mkibinywa nyuma kutema mali za chama mnapiga yowe huku serikalini mnataka yasiwe maneno matupu?
Shuwaini nyie.
Mzee mwenyewe alikuwa halegezi machoRais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali
Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora
Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo