Rais Samia: Kuna mambo hayakuwa yakifanyika, lakini sasa hivi yanataka kuanza. Sitokubali!

Rais Samia: Kuna mambo hayakuwa yakifanyika, lakini sasa hivi yanataka kuanza. Sitokubali!

Rais Samia Suluhu Hassan amesema katika miezi michache aliyokaa kwenye Serikali ya Awamu ya Sita, ameona mambo mengi ambayo huko nyuma hayakuwa yakifanyika lakini sasa hivi yanataka kuanza, akisisitiza hatokubali

Amesema hayo baada ya kushuhudia utiaji saini Mkataba wa Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) Awamu ya Tatu, kipande cha Makutupora - Tabora

Amesisitiza ubora wa vifaa vinavyonunuliwa na Reli inayojengwa kuendana na thamani ya Fedha. Vilevile ameagiza Shirika la Reli (TRC), Wizara ya Ujenzi na wengine wanaohusika kusimamia Ujenzi huo

Rais SSH, acha maneno, fanya vitendo. Ukitaka upendwe na wote, uaminike tembea na mkasi, mtu akivurunda kata, akiiba kata, ufisadi kata. Hata kama ni ndugu yako, swahiba wako, mshikaji.

Anza na huyu mla rushwa katibu mwenezi, shoga Shaka.

Imani kwako itarudi, weka mikataba ya bandarini, mikataba yote wazi.

Hakikisha umeme maji, yapo 24/7 mwaka mzima. Mbolea, mafuta, pembejeo bei rafiki.

Kodi rafiki, mazingira mazuri ya kufanya biashara kwa wote.

Utapendwa, utakubalika sana. Usikubali kuongozwa na genge la mafisadi.
 
Alidhani akimkamata Mbowe ndo hatosemwa? Sasa anasemwa toka ndani ya nyumba yake..
 
Back
Top Bottom