Rais Samia: Kuna mambo hayakuwa yakifanyika, lakini sasa hivi yanataka kuanza. Sitokubali!

Komaa mama, hayo mambo unayosema yanataka kuanza yameshaanza, mpaka yakufikie kwa kiwango unachotaka basi ujue huku site ujenzi umesimama kabisa.
 
acha akina mkwere wamdanganye tuu, akileta ujinga tuna mweka ndani kama tulivyo wasweka akina abdujumbe
 
Yameanza kutokea baada ya kumuona hawezi kuwajambisha wakulungwa.

Anakiri wazi kuwa watendaji walio chini yake wanamdharau.
 
Mkuu mjenzi wa kipande cha Makutopora - Tabora bado ni Mturuki?
 
Wakiamua kufurukuta wanaitwa sukuma gang!

Kuna kundi la Jk limemzunguka mama ndio maana unaona kina Majaliwa wamejikalia kimya! Kundi hili la JK kina Makamba na Nape wameshamlainisha mama kiasi kwamba kila anachoambiwa anaitkia tu.
.
Sasa kuna hatari nchi itaanza kuliwa kama mchwa

Kama umesoma uzi wa yule jamaa anaitwa Magamba matatu nadhani utakuwa umeelewa kinachoendelea!
 
Maza kaza kidogo politeness ikizidi utashindwa kuwadhibiti wasaidizi wako
 
Anaongea maneno matupu, vitendo sifuri
Hapo ni sawa na kumuahidi mwanao pipi kila siku ukiondoka nyumbani anakulilia, unamwambia nikirudi nakuletea pipi, jioni vile kasahau na wewe hukununua hivyo maisha yanaendelea kwa njia hiyo na mwisho wa siku kila mtu anazoea na hakuna jipya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…