Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hakuna ukweli wowote hapo,mfumo wa kiutendaji Serikalini umejengwa kwa mtindo kuwa Rais ndio final say-kitu ambacho ndio kinaleta matatizo,hakuna ugatuzi wa madaraka kabisa.Kuna ka-ukweli fulani hivi mkuu, ila tabia za watu ni dynamic, mtu mwenye tabia njema leo anaweza aka pick tabia mbaya kesho, honest person today can be a thief and hooligan tomorrow. So lets give mama yetu wa taifa a break
Mama rais wetu yuko sahihi kabisa.Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Kwamba Raisi ndiyo anayepitisha masurufu ya watumishi? au anayeajiri watumisho wa-umma. Unaongea kauli za kijumla sana ambazo hazina mshiko.Hakuna ukweli wowote hapo,mfumo wa kiutendaji Serikalini umejengwa kwa mtindo kuwa Rais ndio final say-kitu ambacho ndio kinaleta matatizo,hakuna ugatuzi wa madaraka kabisa.
Vipi Albert Msando ambaye alionekana kwenye video akimtia virile Gigy Money lakini Samia akamteua kuwa mkuu wa wilaya!Kuna ka-ukweli fulani hivi mkuu, ila tabia za watu ni dynamic, mtu mwenye tabia njema leo anaweza aka pick tabia mbaya kesho, honest person today can be a thief and hooligan tomorrow. So lets give mama yetu wa taifa a break
Mambo yamekorogeka sasa anakwepa.Nani mtendaji mkuu wa serikali
Au kuna watu hawajui majukumu yao
Ukiomba kuwa Makamu wa Rais Tanzania maana yake umeomba kuwa rais dakika yoyote rais akifariki.Huyu mama hakuwahi kuomba huo u-Raisi, na pengine haukua mpango wake, amekua Raisi by operation of Constitution baada ya kifo cha mtangulizi wak.
Kimsingi, a lot is to be desired with regards to her willingness and preparedness kuongoza hii nchi let alone uwezo wake
So, kwangu mimi ni kama tunamuonea
Hapo kweli vyombo vinavyosaidia uteuzi viliteleza au labda maadili yetu yamebadilika kwa maana nyingine yameboreka unless angepiga mashine hadharani ndiyo angekua amevunja maadiliVipi Albert Msando ambaye alionekana kwenye video akimtia virile Gigy Money lakini Samia akamteua kuwa mkuu wa wilaya!
Hapo niaje?
mama Samia kuna kitu kinaitwa VICARIOUS LIABILITY.Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Tuendelee kumpa moyo, ajikaze kikike ili atuongoze vizuriUkiomba kuwa Makamu wa Rais Tanzania maana yake umeomba kuwa rais dakika yoyote rais akifariki.
Kama aliona hawezi kuwa rais asingekubali kuwa Makamu wa Rais.
Hata hii mikopo Samia hausiki🤣Orodha ya mikopo iliyokopwa awamu ya sita tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani March 19, 2021
Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano...www.jamiiforums.com
Kiranga,We mtu anamrudisha Makonda katika uongozi, mtu mwenye tuhuma nyingi sana chafu, unafikiri anajali habari za kuchuja wateule wake?
Moyo kazi yake ku pump damu, huyo anahitaji akili, si moyo.Tuendelee kumpa moyo, ajikaze kikike ili atuongoze vizuri
Huyu mama na Makonda inawezekana wana lao jambo, si bure.Kiranga,
Ni kheri ingekuwa tuhuma zisizo na ushahidi. Kuingia na walinzi walio na silaha ndani ya kituo cha habari, kuanza kupiga na kuchukua watu kwa nguvu pasi na utaratibu wa sheria. Kwa nchi zenye kujua kufuata sheria ile ilikuwa ni kosa kubwa.
Lakini ikafunikwa likafa kimya kimya. Kuna namna ninaamini katiba mpya itakayotoa nafasi kwa kila muhimili wa serikali kufanya kazi na kuwa na nguvu isiyozidi mwenzake inaweza kuwa suluhisho.
Namkumbuka sheikh yahya alisema awamu ya tano raisi ataongoza kwa kipindi kifupi baadae nchi itashikwa na mwanamama na uchaguzi utakaofata nchi itaenda upinzani😃.
Kwa kiasi kikubwa Mama si mtu anayeweza kufuatilia. Na labda ni sababu ya siri anazozijua za raisi magufuli au ni mtu ambaye hakutegemea kuwa katika hiyo nafasi anapitiia kipindi cha mpito labda tumpe muda.😀
Kwa maana hiyo tulimweka MAKAMU asiye sahihi?... Kwasababu hiyo CONSTITUTION unayoiongelea inasema MAKAMU anaweza kuwa RAIS KAMILI muda wowote wakiwa kwenye KIPINDI CHA UONGOZI WAO endapo lolote likitokea.Huyu mama hakuwahi kuomba huo u-Raisi, na pengine haukua mpango wake, amekua Raisi by operation of Constitution baada ya kifo cha mtangulizi wake.
Kimsingi, a lot is to be desired with regards to her willingness and preparedness kuongoza hii nchi let alone uwezo wake
So, kwangu mimi ni kama tunamuonea
Aliyemchagua huyo mama kuwa makamu wake sasa hivi yuko kaburini akipokea adhabu zake.Kwa maana hiyo tulimweka MAKAMU asiye sahihi?... Kwasababu kikatiba MAKAMU anaweza kuwa muda wowote wakiwa kwenye KIPINDI CHA UONGOZI WAO endapo lolote likitokea.
Na kama hakuwa sahihi kwenye UMAKAMU in maana hata hapo alipo si SAHIHI KWAKE, kwahiyo wanaosema hafai wako sawa???
Ni kweli kabisa, The buck stops with her. No ifs no buts. Wakuu wa mikoa na wilaya hawajaanza na Samia, wamekuwepo miaka mingi... kwa nini lawama nyingi zimeanza miaka ya karibuni? Kuna shida sehemuHata kama hajawatuma, kashindwa kuchuja watu sahihi kuchukua nafasi za uongozi, haoni hilo kama muhimu.
We mtu anamrudisha Makonda katika uongozi, mtu mwenye tuhuma nyingi sana chafu, unafikiri anajali habari za kuchuja wateule wake?