macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Sahihi. Hasa kwa hii katiba ambayo rais ni kila kitu. Akitaka kujitoa namna hiyo aongoze mabadiliko ya katiba ambayo yataganya madaraka kwa watu wengi. Bunge liwe na nguvu ya kufanya maamuzi mengi.Ukiwa raisi unapokea vyote. Huwezi kujitoa kwa namna yoyote kwenye lawama zozote