macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Sahihi. Hasa kwa hii katiba ambayo rais ni kila kitu. Akitaka kujitoa namna hiyo aongoze mabadiliko ya katiba ambayo yataganya madaraka kwa watu wengi. Bunge liwe na nguvu ya kufanya maamuzi mengi.Ukiwa raisi unapokea vyote. Huwezi kujitoa kwa namna yoyote kwenye lawama zozote
Ayatimbe yeye halafu wananchi tuitwe kuwa nasi tupo kwenye taasisi ya urais? Lakini akiwa na yake hasemi wananchi tuamue kwa pamoja kama wadau wa taasisi ya urais??? Hii hapana aisee.Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
SahihiSahihi. Hasa kwa hii katiba ambayo rais ni kila kitu. Akitaka kujitoa namna hiyo aongoze mabadiliko ya katiba ambayo yataganya madaraka kwa watu wengi. Bunge liwe na nguvu ya kufanya maamuzi mengi.
Urais sio taasisi bali rais ndiye taasisi, anawajibika kwa lolote katika taasisi yakeRais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Mazuri tu atajwe yeye yakiwa mabaya hataki atajwe. Maana kila sifa hadi ya mvua kunyesha anatajwa sasa kwanini na sifa mbaya asitajwe?Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Kila mtu ana equal chance lakini hapo kwa Makonda,....mmmm....bull!Hata kama hajawatuma, kashindwa kuchuja watu sahihi kuchukua nafasi za uongozi, haoni hilo kama muhimu.
We mtu anamrudisha Makonda katika uongozi, mtu mwenye tuhuma nyingi sana chafu, unafikiri anajali habari za kuchuja wateule wake?
Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Kila mtu ana equal chance lakini hapo kwa Makonda,....mmmm....bull!
Kwanza si kweli kwamba kila mtu ana equal chance, kuna restri tions nyingibtu za age, experience, sanity, record, etc.Kila mtu ana equal chance lakini hapo kwa Makonda,....mmmm....bull!
Hapo ni moja kwa moja kwamba kuna dhoruba kubwa imeshaandaliwa na Waandishi wanaonywa kama watayaandika hayo basi wajue atakayeumia siyo yeye nali mchi yao wenyewe au watakaoharibikiwa ni wananchi.Rais Samia amewakumbusha wanahabari kuwa Urais ni taasisi hivyo kuna masuala ambayo yeye kama Samia hahusiki.
Amelalamikia suala la waandishi kuandika story kama Tanzania Ikishtakiwa Umoja wa Ulaya, ambapo suala kama hilo Samia hahusiki ila taasisi ya Urais inahusika ikiwa ni pamoja na wananchi.
Hivyo amesema uandishi wa aina hiyo unaharibu nchi sio kumuharibia Samia
Ofcourse mtu na nafasi yake, ukiondoa wale wenye file Milembe, kama yule jamaa!Kwanza si kweli kwamba kila mtu ana equal chance, kuna restri tions nyingibtu za age, experience, sanity, record, etc.