Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Rais aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi.

Wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma

Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo Rais ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
 
Tumekopa sana na tumejenga sana sijui anasema amejenga nini[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
FB_IMG_1671694613947.jpg
 
Na hizo zinazokopwa sijui zinaendaga wapi, ama ndo zinapigwa tu!
 
Raisi aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi
wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma

Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo raisi ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
Aya za dhahabu
 
Haya maandishi nidebe tupu hakuna lolote acheni viongozi wafanye kazi zao
Mkipewa Uhuru wakuongea mnajifanya mnaona mkinyimwa Uhuru mnaanza mapambio ooh mala hivi mala vile acheni unafiki kama hawafanyi vizuri muandamane
 
Raisi aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi
wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma

Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo raisi ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
 

Attachments

  • C55576C7-D9AB-47C9-A0B5-C68B535933EA.jpeg
    C55576C7-D9AB-47C9-A0B5-C68B535933EA.jpeg
    100.1 KB · Views: 5
Watu wanasimulia kuwa enzi za Mwinyi wafanyakazi walikuwa wakicheleweshewa mishahara hata kwa miezi 3. Ikafika mahali wafanyakazi wengi wakaacha kazi, maana mtaani kulikuwa na hela usipime.

Awamu ya Kikwete halmashauri nyingi Sana zilikuwa zinakopa fedha toka kwa matajiri ili kulipa mishahara. Halafu hao matajiri wanapewa tenda za ujenzi wa miradi ya serikali ktk halmashauri husika.

Awamu hii ya sita mwelekeo ni huo huo!

Hawa marais wema hawa wanaoishi sana. Kulikoni?
 
Ni kweli tarehe kama ya leo mishahara ingekua tayari ili watumishi wajiandae na sherehe za mwaka mpya..na "sisi" wafanyabiashara tupate chochote lakini kwa hali ilivyo..hakuna dalili..
 
Back
Top Bottom