Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Duh!, amethibitisha serikali yetu inaendeshwa kwa mikopo, huku chawa wakiendelea kupiga makofi kwa nguvu, hili taifa la ajabu sana.

Kumbe ndio maana Ndugai yalimkuta, kwsababu kama kile alichoshauri kingefanyika basi serikali yetu inge collapse, ikalazimu aondoshwe kwa misuto!

Hivi zile tozo za kila siku huwa zinakwenda wapi? Mwigulu anatakiwa kuwajibishwa, Waziri wa Mipango asiye na mipango, ila kwa uzembe wa Samia wacha atambe tu.
Tozo haziwezi kuendesha nchi ni kama ombaomba tu anaesubiri ijumaa au jumapili apate chochote

Inatakiwa tuzalishe sana na kuuza nje
Ngozi zimejaa wanaishia kutengeneza viatu vya jeshi tu badala ya kuuza nje
Tuna kila hali ya kujiita mazezeta
 
Rais aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi.

Wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma

Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo Rais ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
GHANA YAMEKWISHAWAPATA WANALIPA DENI KWA ASILIMIA 70 YA MAPATO YAO YA NDANI
 
Hivi unajua Budget ya mishahara ya serikal kwa mwezi ? Au Unasikia Radio mbao tu kuna Tajiri hapa Tz anauwezo kulipa mishahara ya serikali watanzania walio wengi ni wajinga hasa lugha rahisi ni jamii ya hovyo kabisa katika ukanda huu wa mashariki
Nisome vizuri mkuu acha kupaniki na kukurupuka. Hapo kabla ya JPM ulipaji wa mishahara ulikuwa decentralized. Watumishi wa halmashauri walikuwa wanalipwa na halmashauri na wa serikali kuu ndiyo walikuw wanalipwa na serikali kuu..

Sasa ndiyo nikasema kuna baadhi ya halmashauri zilikuwa zinakopa kwa matajiri. Umeelewa ewe ng'ombe?
 
Tozo haziwezi kuendesha nchi ni kama ombaomba tu anaesubiri ijumaa au jumapili apate chochote

Inatakiwa tuzalishe sana na kuuza nje
Ngozi zimejaa wanaishia kutengeneza viatu vya jeshi tu badala ya kuuza nje
Tuna kila hali ya kujiita mazezeta
Pesa za tozo nimezitumia kama mfano, kuonesha vile pesa zinavyopotea hovyo serikalini bila usimamizi madhubuti.
 
Mwenzetu kajiongeza alipoenda [emoji631]
Screenshot_20221221_100933_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom