Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Hawa wezi wa serikali ya CCM wavuvi na wafuga samaki hatuna hamu nao, wameiba na kugawana pesa za mikopo ya IFAD na KUTELEKEZA mradi mchana kweupe.
Awamu ya kwanza ya utekelezaji wa mradi inamalizika MWEZI JUNI 2023, na Hakuna hata shilingi moja ambayo imelipwa hadi sasa

Huyu Mama na magenge yake miaka hii mitano tu inawatosha, wakiendelea nchi itafilisika na kukorogeka kabisa
Ukuzaji viumbe maji - Mifugo & Uvuvi.PNG

Mifugo & IFAD.PNG
 
Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!

Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!

Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!

Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia

Naenda zangu Burundi mapemaaa!!
IMG-20221222-WA0004.jpg
 
Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!

Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!

Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!

Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia

Naenda zangu Burundi mapemaaa!!
Halafu yule anasema hakuna Mtanzania atagongewa hodi nyumbani kwake kudaiwa deni la Taifa.
 
Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!

Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!

Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!

Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia

Naenda zangu Burundi mapemaaa!!
Doomsday enthusiasts
 
Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!

Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!

Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!

Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia

Naenda zangu Burundi mapemaaa!!
Uandishi gani huu, yaani unaongelea kauli wakati hujaiweka kukwaani? How do you assume everyone has heard her ?
 
Back
Top Bottom