Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Ttzo mnajadili kishabiki na sio kisomi
Ebu achieni wasomi na wajuzi wa mambo wajadili
 
Nani kakuambia kuwa kuna mfanyakazi wa serikali hajalipwa mwezi huu,au tarehe anayolipwa imepitiliza?
 
Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!

Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!

Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!

Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia

Naenda zangu Burundi mapemaaa!!View attachment 2454531
kuna yale ya mama anaupiga mwingi kwan yanasemaje.
 
Matrilioni yanakopwa na matrilioni yanakisanywa bado hatuna fedha.

Kuna mahali mapanya yameshatoboa mfuko haujai.
 
Wamefuja oesa zoooteee,wamejenga ma mijengo ya kutisha wamekula bata weee maskini sieeee
 
Back
Top Bottom