Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dona kantry ya konyo, labda sembe kantry!!Ina maana zile ndoto za kuwa dona-kantri zimekufa ?..
tumegeuka sembe-kantriIna maana zile ndoto za kuwa dona-kantri zimekufa ?..
Zimekufa kibudu.Ina maana zile ndoto za kuwa dona-kantri zimekufa ?..
Tozo kantritumegeuka sembe-kantri
Mama Ni mkweli Ni muwazi Sana ndio sababu unaona akipata uungwaji mkono na mamillion ya watanzania huku nchi ikiwa Tulivu,salama na yenye amani
kuna yale ya mama anaupiga mwingi kwan yanasemaje.Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!
Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!
Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!
Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia
Naenda zangu Burundi mapemaaa!!View attachment 2454531
Dona kantri labda kwa mtutu!!!Ina maana zile ndoto za kuwa dona-kantri zimekufa ?..
Hata marekani anadaiwa
Hii hapa ndiyo hoja!!Inatakiwa tuzalishe sana na kuuza nje
Huyu leo atakuwa kaenda kuziba mchepuko wa maji Stiglers..
Ndivyo ilivyoWamefuja oesa zoooteee,wamejenga ma mijengo ya kutisha wamekula bata weee maskini sieeee