Na wananchi tunaangalia tu Kama mazuzu. Nchi ni yetu sote hii, siyo yake pekee.Taifa Lina enda shimoni😭😭
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wananchi tunaangalia tu Kama mazuzu. Nchi ni yetu sote hii, siyo yake pekee.Taifa Lina enda shimoni😭😭
Mkuu mikopo ime-mature. Marejesho yake ni zaidi ya trillion 1.5 plus mishahara bil 600 unategemea Kuna kitu hapo?TRA inakusanya karibu tril 2. Mishahara haizidi .6 tril.
Kwa hesabu hizi, HAIWEZEKANI serikali ishindwe kulipa mishahara...
TRA inakusanya karibu tril 2. Mishahara haizidi .6 tril.
Kwa hesabu hizi, HAIWEZEKANI serikali ishindwe kulipa mishahara...
Bhaeleze babaIn physics wanasema “if everything else remains constant …” sasa hizo trilion za tra umeuliza safari za nje nani analipa? Za ndani je? Safari za wastaafu nani analipa na matibabu pamoja na wake na familia zao? Magari na gharama za kuyaendesha diesel nani analipa? Kila siku Dodoma- Dar nani analipa? Nani anagharamia matumizi ya CCM politburo yote ?
Mbona umesahau na ile ya urefu wa Kamba!!?In physics wanasema “if everything else remains constant …” sasa hizo trilion za tra umeuliza safari za nje nani analipa? Za ndani je? Safari za wastaafu nani analipa na matibabu pamoja na wake na familia zao? Magari na gharama za kuyaendesha diesel nani analipa? Kila siku Dodoma- Dar nani analipa? Nani anagharamia matumizi ya CCM politburo yote ?
Sehemu ya mapato yanayokusanywa yanaenda kulipa deni la taifa ambalo kiuhalisia ni kubwa mno. Hapo bado matumizi mengine yasiyo ya msingi.TRA inakusanya karibu tril 2. Mishahara haizidi .6 tril.
Kwa hesabu hizi, HAIWEZEKANI serikali ishindwe kulipa mishahara...
Mishahara ni zaidi ya 900bMkuu mikopo ime-mature. Marejesho yake ni zaidi ya trillion 1.5 plus mishahara bil 600 unategemea Kuna kitu hapo?
Daah! Na kwakuwa kisahainhia kwenye circle ya kukopa ndipo alipe hakuna namana atajinasua. Itamtesa mpk siku anamaliza muda wakeMishahara ni zaidi ya 900b
Wewe na ndungayeye wote mna akili sawa za kisukuma gangHata ktk ngazi ya familia ikifikia mahala watoto wanaomba chakula halafu baba anatoa majibu kama haya, ujue mwafwa!
Kwamba "chakula leo hakuna kwasabb jirani aliyekuwa kanikopesha fedha kaja leo asubuhi nimempa hela ya chakula cha leo. Na ili jirani huyu asichukue makochi na TV ilinilazimu kumlipa".
Kauli hii inaashiria tuko pabaya kama taifa, kauli ya kuishiwa pumzi ya kiuchumi, tunafilisika na nchi inaenda kupigwa mnada very soon.
Ndugai kama namuona vile!! Maana anaona angalizo lake lililopuuzwa sasa linatimia.
Sexless
Hama nchi uende BurundiNi kweli mapato ya ndani yanapungua Sana kwasabb kila mtumishi wa umma Sasa anakula kwa urefu wa kamba yake
Hama kabla hujaenda nalo shimoniTaifa Lina enda shimoni😭😭
Atake asitake tutamwongezea muda, hii kauli ya kijinga sana, sasa mtu kama huyo ana uwezo gani wa kuongoza bunge? Hawa watu ndiyo walimdanganya mwendazake kuhusu corona mpaka ikapita nayeKwa wapumbavu kama nyie hamkumuelewa ndugai badala yake mkashangilia kusimangwa kwake bila kujua bunge ndio lililoshambuliwa!
Watu aina ya mleta mada ni wapumbavu sana
Udhaifu wa Ndugai umeonekana tu mara baada ya kuonya juu ya ukopaji wa fedha nje uliokithiri?Atake asitake tutamwongezea muda, hii kauli ya kijinga sana, sasa mtu kama huyo ana uwezo gani wa kuongoza bunge?
Wewe si muimba mapambio,endelea na unoko wakoHata ktk ngazi ya familia ikifikia mahala watoto wanaomba chakula halafu baba anatoa majibu kama haya, ujue mwafwa!
Kwamba "chakula leo hakuna kwasabb jirani aliyekuwa kanikopesha fedha kaja leo asubuhi nimempa hela ya chakula cha leo. Na ili jirani huyu asichukue makochi na TV ilinilazimu kumlipa".
Kauli hii inaashiria tuko pabaya kama taifa, kauli ya kuishiwa pumzi ya kiuchumi, tunafilisika na nchi inaenda kupigwa mnada very soon.
Ndugai kama namuona vile!! Maana anaona angalizo lake lililopuuzwa sasa linatimia.
Sexless
Mbona Jiwe ndiye chanzo cha madeni haya na hakuwahi kumuonya?Udhaifu wa Ndugai umeonekana tu mara baada ya kuonya juu ya ukopaji wa fedha nje uliokithiri?
Wewe ni takatakaAtake asitake tutamwongezea muda, hii kauli ya kijinga sana, sasa mtu kama huyo ana uwezo gani wa kuongoza bunge? Hawa watu ndiyo walimdanganya mwendazake kuhusu corona mpaka ikapita naye