Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Rais Samia: Kuna vijineno Serikalini hakuna hela, ni kweli…

Kipo kipindi chaja, mishahara itakuwa kizungumkuti!

Lakini pia, sio ajabu tukisikia bandari mojawapo imechukuliwa na wakopeshaji wetu, tusije laumu kuwa hatukuambiwa!

Ipo pia siku tukaambiwa, wakati umefika Kwa kila mtanzania kufunga mkanda Kwa kujibana zaidi na kufanya Kazi Kwa kujitolea bila malipo Kwa miezi kadhaa Kwa sababu serikali haina pesa, napo tusiseme hatukutahadharishwa!

Na kuna kipindi chaweza kuwepo Kwa kuambiwa kila mtanzania, aichangie nchi ili tulipie madeni tunayodaiwa ili tu tusifirisiwe, jamani, msije kusema mkuu hakuwaambia

Naenda zangu Burundi mapemaaa!!View attachment 2454531
Swali;

1. Nani amebarikiwa kati ya AKOPAYE na AKOPESHWAYE?

Maana imeandikwa, AKOPAYE ni mtumwa wake Yeye Aliyemkopesha.

Nawaasa viongozi waache mawazo ya kitumwa,

Tufanye KAZI Kwa bidii, tule Kwa JASHO letu na tisaidie majirani wenye njaa.

Aamen.
 
Mimi nitaendelea kuwalaumu The state!


Unapositisha operation Eti kufanya remedy,aliepewa NAFASI Anakuwa hajiamini coz hakujipanga wala hana sera!

Atakacho fanya ni kula KWA Kasi kuendana na Muda akiamini muda Wake ni mchache kukalia kiti!!

Sasa mnajikuta mnaendeleza operation too late damage is done!!

Mi nawaambia nchi sio mahusiano ya mapenzi Kati ya mume na mke eti wapeane muda wa matazamio,nchi ni taasisi inayotaka instant reaction Ili kuponya Taifa!!

Mna lea Lea watu kwenye vyeo Ili mpate Nini NYIE!!?

Hao ni mama zenu KWANI!!?au wapenzi WENU!Mbona mnatukosea Sana raia!!?

Unaweza pata presha AISEH!


MUNGU ibariki Tanzania nchi yetu!
 
Rais aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi.

Wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma

Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo Rais ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
Kiswahili cha wapi hicho weye balangulu?"Kukosa mishahara kwa wakati" umemaanisha nini?
 
Jeshi likikuongoza ndio halifanyi ufisadi?

Jeshi ndio litakuletea Maendeleo?

Kwani hata Sasa Pesa za miradi ya jeshi huwa unakagua wewe?

Umewahi kumuona Mwanajeshi wa Ngazi ya Juu Ni maskini?

Jeshi likishika ndio itakuwa mwisho kuhoji huwezi na huna Cha kuwafanya.

Kaulize Sudan, Egypt,Mali,Bukinafaso nk nk
Watakao umia zaidi ni walamba asali kumbuka, raia wa kawaida hana chakupoteza zaidi ya kubadilisha location
 
Rais aliamua kuwa sehemu ya watu wasiopenda kulipa kodi na ndiyo baadhi yao wanafadhili mitandao ya kijamii kwa kumsifia kuwa anaupiga mwingi.

Wakati sasa umefika anajionea yeye mwenyewe ameweka tozo kwa wananchi bado pesa za tozo hazijamsaidia kitu chochote hazijulikani zinaenda kwenye miradi gani, juzi amekiri mwenyewe kuwa serikali yake haina pesa na amesisitiza kuwa lazima tukope na tulipe hapo alikuwa akizungumzia ujenzi wa reli ya sgr kipande kuanzia tabora hadi kigoma

Kwa maneno yake yale baadhi ya taasisi za serikali kaeni tayari kucheleweshewa mishahara maana kwa sasa mambo aliyonayo Rais ni mengi hasa ya kutekeleza miradi ya maendeleo, wakati mwingine ndiyo maana mama anatoka kidogo nchini yapo mambo mengi anapokuwa nchini anashindwa ashike lipi na aache lipi ndiyo maana anaamua kwenda kula upepo kule kwa wenzetu wanaotukopesha.
Watu wameshalipwa Mzee, nchi inaenda kisasa, endeleeni kuota ndoto za mchana.

Kama mna nongwq, kaburi lile ni kubwa, nenda kafukiwe naye
 
Hata ktk ngazi ya familia ikifikia mahala watoto wanaomba chakula halafu baba anatoa majibu kama haya, ujue mwafwa!

Kwamba "chakula leo hakuna kwasabb jirani aliyekuwa kanikopesha fedha kaja leo asubuhi nimempa hela ya chakula cha leo. Na ili jirani huyu asichukue makochi na TV ilinilazimu kumlipa".

Kauli hii inaashiria tuko pabaya kama taifa, kauli ya kuishiwa pumzi ya kiuchumi, tunafilisika na nchi inaenda kupigwa mnada very soon.

Ndugai kama namuona vile!! Maana anaona angalizo lake lililopuuzwa sasa linatimia.

Sexless
 
Back
Top Bottom