Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Mkuu, nimeweka tahadhari ili usije sema hukuambiwa!Uandishi gani huu, yaani unaongelea kauli wakati hujaiweka kukwaani? How do you assume everyone has heard her ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, nimeweka tahadhari ili usije sema hukuambiwa!Uandishi gani huu, yaani unaongelea kauli wakati hujaiweka kukwaani? How do you assume everyone has heard her ?
Explain well chiefDoomsday enthusiasts
Sio kwamba kawaamini mno, yeye mwenyewe unadhani anaelewa basi mambo mengi. Ni rahisi kuongoza watu kama mwenyewe una ABCs, kama huna je!Mh Rais amewaamini mno watu wake na ambapo anajua kabisa ni majizi sugu na yanaishi Kwa uwongouwongo mwingi kina j, mW, n, n.k
Sawa nilifikiri kuna kauli katoa mahaliMkuu, nimeweka tahadhari ili usije sema hukuambiwa!
Na ipo mkuu, fungus upya tarifa hiiSawa nilifikiri kuna kauli katoa mahali
Nimeiona mkuu, samahaniMkuu, nimeweka tahadhari ili usije sema hukuambiwa!
Mbona umecomment sasa mada inayomhusu?Kuna watu bado wanamsikiliza na kumtilia maanani kwani?
Yeye mweyewe hata hajui anachosimamia, sasa mtu kama huyo wa nini hata kusikiliza anachosema.
Usihofu chief, mbona kawaida tuuNimeiona mkuu, samahani
kati ya comment za watu wote ukaona ufuatilie za kwangu tu?Mbona umecomment sasa mada inayomhusu?
Usimponde sasa huku bado unafuatilia issue zakekati ya comment za watu wote ukaona ufuatilie za kwangu tu?
Simu yangu, bundle langu sasa hata ikiwa nimecomment zaidi wapi unapopungukiwa chief?
Mh Rais amewaamini mno watu wake na ambapo anajua kabisa ni majizi sugu na yanaishi Kwa uwongouwongo mwingi kina j, mW, n, n.k
Mara mia huyu kuliko yule muuaji na muongoKuna watu bado wanamsikiliza na kumtilia maanani kwani?
Yeye mweyewe hata hajui anachosimamia, sasa mtu kama huyo wa nini hata kusikiliza anachosema.
mzee wangu tusipangiane basi. hakuna sababu za kufuatiliana. Unahisi ni kero kusoma comment yangu ipo button ya ku ignore.Usimponde sasa huku bado unafuatilia issue zake
Sukuma gang mnapata tabu sanaMkuu, nimeweka tahadhari ili usije sema hukuambiwa!
Sawa mkuuSukuma gang mnapata tabu sana
Ombi langu ni uache unafiki,kujifanya kumponda huyo maza kumuona sijui hajielewi halafu mada zinazomhusu wa kwanza kucomment.mzee wangu tusipangiane basi. hakuna sababu za kufuatiliana. Unahisi ni kero kusoma comment yangu ipo button ya ku ignore.
Nahisi kuna la ziada unalotaka. Uwe na siku njema.Ombi langu ni uache unafiki,kujifanya kumponda huyo maza kumuona sijui hajielewi halafu mada zinazomhusu wa kwanza kucomment.