Pre GE2025 Rais Samia, Kung'atuka nako ni ushujaa

Pre GE2025 Rais Samia, Kung'atuka nako ni ushujaa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mkuu kwa vile Januari Makamba hayupo, na aliyepo ni mwana, mmeona mumgeukie Rais Samia kabisa! Mnamharibia mwana mazima sasa!
Sasa nani wakutupiwa zigo zaidi ya Rais.
Pesa ikitolewa mnasema Rais katoa pesa ila akiboronga dhambi si zake
 
Sasa nani wakutupiwa zigo zaidi ya Rais.
Pesa ikitolewa mnasema Rais katoa pesa ila akiboronga dhambi si zake
Mkuu kumbe aliyefaa na kustahili kutupiwa zigo la umeme ni Januari tu!! Ila mwana aka! Wamekusikia! Tumekuelewa!
 
Mliombeza Ipo siku mtamjengea magufuli sanamu bila kulazimishwa.
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Siyo jasiri kama unavyodhani.

Hawezi kuwa jasiri akajiuzulu
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Ng'atuka wewe mwenyewe, mama kazi inaendelea
 
Kwamba Jomoo Kenyatta aliwahi kusema Nyerere anaongoza maiti, maana yake watanzania hawajitambui ndo Mana makonda anapiga simu mbele za wananchi kuwahadaa nao wanashangilia,Usaniii mtupu
 
Kwamba Jomoo Kenyatta aliwahi kusema Nyerere anaongoza maiti, maana yake watanzania hawajitambui ndo Mana makonda anapiga simu mbele za wananchi kuwahadaa nao wanashangilia,Usaniii mtupu
Hizi siasa za kupiga simu majukwaani ziliasisiwa na mwendawazimu jiwe au jina jingine mwiteni
Kibudu the ngosha
 
Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Huna hoja za maana.
 
Mama chapa kazi usisikie majungu. Malizia huu muhula wa mpito 2024 kisha uanze mihula yako rasmi miwili mpaka 2035.
 
Back
Top Bottom