Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #21
Sasa nani wakutupiwa zigo zaidi ya Rais.Mkuu kwa vile Januari Makamba hayupo, na aliyepo ni mwana, mmeona mumgeukie Rais Samia kabisa! Mnamharibia mwana mazima sasa!
Mkuu kumbe aliyefaa na kustahili kutupiwa zigo la umeme ni Januari tu!! Ila mwana aka! Wamekusikia! Tumekuelewa!Sasa nani wakutupiwa zigo zaidi ya Rais.
Pesa ikitolewa mnasema Rais katoa pesa ila akiboronga dhambi si zake
🤣🤣🤣Mliombeza Ipo siku mtamjengea magufuli sanamu bila kulazimishwa.
Siyo jasiri kama unavyodhani.Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Ng'atuka wewe mwenyewe, mama kazi inaendeleaHello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.
Hizi siasa za kupiga simu majukwaani ziliasisiwa na mwendawazimu jiwe au jina jingine mwiteniKwamba Jomoo Kenyatta aliwahi kusema Nyerere anaongoza maiti, maana yake watanzania hawajitambui ndo Mana makonda anapiga simu mbele za wananchi kuwahadaa nao wanashangilia,Usaniii mtupu
Huna hoja za maana.Hello Rais Samia!
Shikamoo mama na Rais wa nchi tukufu ya Tanzania.
Nakuomba ung'atuke/ ujiuzulu kwa maslahi mapana ya Taifa.
Suala la nishati ya umeme kusuasua zaidi ya miezi 12 inatosha kabisa wewe kutangaza maamuzi magumu ya kujiuzulu.
Ukijiuzulu utapata heshima kubwa na Watanzania tutauthamini utu wako milele.
Wahandisi wako na mawaziri wako sababu za kusuasua kwa umeme wamezisema kuwa ni 3 ingawa kila sababu Ina msimu wake
•Leo watasema ni kupungua kwa maji katika mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Kesho wanageuka na kusema maji yamevuka Kingo za mabwawa ya uzalishaji umeme.
•Mwishowe wanasema ni maintenance ya miundombinu ya umeme ambayo ni chakavu.
Swali : Hiyo maintenance ilisubiri ifanyike kipindi chako?
Kwanini usiseme kama kuna maintenance sawa lakini nataka ifanyike kipindi kingine, si cha utawala wangu?
Nakuomba Rais Samia ung'atuke.
Uking'atuka Mimi sitainyemelea nafasi yako na sina ndugu au rafiki mwenye hadhi ya Urais kwasasa.