babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
huyu aiyesema analiaga akimuona maza anaenda na mweweSafari njema raisi Samia. Makamo atashika nchi kama katiba isemavyo. Kila la heri.
Wadnganye matahira wenzako.Kabla ya kuhoji ungetumia bichwa lako kuyafuatilia..
Hayo ndio maonesho makubwa kabisa ya biashara na teknolojia Duniani,kila Nchi inayatumia kutafuta fursa na tuna Banda letu kule.
Marais wengi wameenda kujinadi Huko Ili kuvutia biashara,pia hayo maonyesho hufanyika kwa miezi 6 mfululizo.
Like husband like wifeKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Siasa tu zilewaziri wa michezo na wa mambo ya nje watulie tu ,kazi imepata mwenyewe sasa
huyu aiyesema analiaga akimuona maza anaenda na mwewe
Ndo madhara ya kung'ang'ania uchifu wa makabila ya watu bila kujua mira na desturi zao.Hivi hili jina Hangaya nyuma yake linabeba maana gani? Isije likawa na maana ya anayezurura, kutangatanga ama kutokutulia sehemu moja. Maneno ama speli za kichawi huumba tabia! Nyie watani zangu Wasukuma shauri zenu, oohoo!
Umesikia watu kuwa TZ tuna njaa?Akifungwa speed limit watu watakufa njaa humu nchini na malalamiko ndio yataongezeka.
Ujikombaji wa kiwango cha 4gUmewahi ona wapi Samia anafanya ziara za hasara kama Mwendazake?
Aibu gani unayoisemea wewe? Pesa ni za mkopo na kama ni msaada ni jambo la Nchi husika kujiskia kutoa kwa sababu za urafiki nk..
China alipotoa msaada wa kujenga Tazara na Sasa kajenga Chuo cha Uongozi cha ccm umempa nini?
China huyo huyo kajenga Makao Makuu ya AU hapo Addis Ababa,walidai nini?
Mwisho,Rais kaenda Ufaransa si tuu karudi na connection za wafanyabiashara bali na pesa za mkopo na msaada juu.
Huko anakoenda ni sehemu ya jukwaa la biashara kwa hiyo inategemeana atakutana na makundi gani.
Wewe kwa akili yako umeona Serikali ya Samia ina struggle kutekeleza miradi iliyomtoa makamasi Mwendazake?
Ndio safi. Azurure tu. Hapa awe anakuja kutusalimia tu halafu apige U-turn tena. Akae humu kufanya nini wakati kuna watu huko wana hela hazina kazi na wanatamani kuwekeza?Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Sema anaenda kwao kwa mapunziko. nakuchungulia akaunti yake kama wamemwingizia hela zake, akirudi anafukuza Wamasai Ngorongoro, amewauzia warabu wenzake kwao Ngorogoro.Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Mama kawa Vasco da GamaKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Badala ya kutafuta wawezekaji wapya tuna viwanda kibao vilivyoanzishwa na Mwl nyerere wahindi wamevigeuza maghala.darbrew tu hapo ubungo imefungwa hakuna hatua zozote serikali imemchukulia mwekezaji urafiki wamegeuza frame za biashara na parking ya magari.Mama anaenda kushiriki maonesho aina ya sabasaba kweli? Ndio amefikia hatua hii?
Nalisikitikia taifa langu la Tanzania kwa kupata mzurulaji mzuri kama huyu
Huyo ni rais mwenye maono tofauti na hayati JPM aliyeamini katika siasa za ndani na akawanyanyapaa mabalozi katika vikao vya ikulu, akiwa amejawa na jeuri.Ile zile gharama za timu nzima ni kubwa mno, unatambua ya kwamba yeye binafsi gharama za kwenda ziara kule france na belgium ametumia zaidi ya milioni 250M hapo timu aliyosafiri nayo ambapo ukijumlisha hapo ni mabilioni kadhaa...
Hiyo pesa ni nyingi sana ingetosha kujenga vituo vya afya kadhaa hapa nchini ama kununua vitanda vya wagonjwa, wakati mwingine tuwe fair basi maana hata hatatulia safari nyingine imewadia tena…
Nijikombe Ili nivumbue nini? Wewe ambae hujikombi unafaidi nini? Unawashwa na kalio wewe sio bure.Ujikombaji wa kiwango cha 4g
Kuwashwa na kalio sio issue ww unawashwa na lile duara'dogoNijikombe Ili nivumbue nini? Wewe ambae hujikombi unafaidi nini? Unawashwa na kalio wewe sio bure.
Na wewe washwa,ndio keshaenda Dubai sasa ,endelea kuugua.Kuwashwa na kalio sio issue ww unawashwa na lile duara'dogo