Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Kabla ya kuhoji ungetumia bichwa lako kuyafuatilia..

Hayo ndio maonesho makubwa kabisa ya biashara na teknolojia Duniani,kila Nchi inayatumia kutafuta fursa na tuna Banda letu kule.

Marais wengi wameenda kujinadi Huko Ili kuvutia biashara,pia hayo maonyesho hufanyika kwa miezi 6 mfululizo.
Wadnganye matahira wenzako.
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Like husband like wife
 
Hivi hili jina Hangaya nyuma yake linabeba maana gani? Isije likawa na maana ya anayezurura, kutangatanga ama kutokutulia sehemu moja. Maneno ama speli za kichawi huumba tabia! Nyie watani zangu Wasukuma shauri zenu, oohoo!
Ndo madhara ya kung'ang'ania uchifu wa makabila ya watu bila kujua mira na desturi zao.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Umewahi ona wapi Samia anafanya ziara za hasara kama Mwendazake?

Aibu gani unayoisemea wewe? Pesa ni za mkopo na kama ni msaada ni jambo la Nchi husika kujiskia kutoa kwa sababu za urafiki nk..

China alipotoa msaada wa kujenga Tazara na Sasa kajenga Chuo cha Uongozi cha ccm umempa nini?

China huyo huyo kajenga Makao Makuu ya AU hapo Addis Ababa,walidai nini?

Mwisho,Rais kaenda Ufaransa si tuu karudi na connection za wafanyabiashara bali na pesa za mkopo na msaada juu.

Huko anakoenda ni sehemu ya jukwaa la biashara kwa hiyo inategemeana atakutana na makundi gani.

Wewe kwa akili yako umeona Serikali ya Samia ina struggle kutekeleza miradi iliyomtoa makamasi Mwendazake?
Ujikombaji wa kiwango cha 4g
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Ndio safi. Azurure tu. Hapa awe anakuja kutusalimia tu halafu apige U-turn tena. Akae humu kufanya nini wakati kuna watu huko wana hela hazina kazi na wanatamani kuwekeza?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
😁😁😁😁😁Rais Vasco da Gama. Habari za wananchi sio kitu kwake. Anyways,amalizie muda wake atoke tupate viongozi makini wasio malimbukeni wa safari.
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Sema anaenda kwao kwa mapunziko. nakuchungulia akaunti yake kama wamemwingizia hela zake, akirudi anafukuza Wamasai Ngorongoro, amewauzia warabu wenzake kwao Ngorogoro.
Jasili aachi asili yake.
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Mama kawa Vasco da Gama
 
Mama anaenda kushiriki maonesho aina ya sabasaba kweli? Ndio amefikia hatua hii?

Nalisikitikia taifa langu la Tanzania kwa kupata mzurulaji mzuri kama huyu
Badala ya kutafuta wawezekaji wapya tuna viwanda kibao vilivyoanzishwa na Mwl nyerere wahindi wamevigeuza maghala.darbrew tu hapo ubungo imefungwa hakuna hatua zozote serikali imemchukulia mwekezaji urafiki wamegeuza frame za biashara na parking ya magari.
 
Ile zile gharama za timu nzima ni kubwa mno, unatambua ya kwamba yeye binafsi gharama za kwenda ziara kule france na belgium ametumia zaidi ya milioni 250M hapo timu aliyosafiri nayo ambapo ukijumlisha hapo ni mabilioni kadhaa...

Hiyo pesa ni nyingi sana ingetosha kujenga vituo vya afya kadhaa hapa nchini ama kununua vitanda vya wagonjwa, wakati mwingine tuwe fair basi maana hata hatatulia safari nyingine imewadia tena…
Huyo ni rais mwenye maono tofauti na hayati JPM aliyeamini katika siasa za ndani na akawanyanyapaa mabalozi katika vikao vya ikulu, akiwa amejawa na jeuri.

Faida ya safari kama hizi ni kujuana na wawekezaji wakubwa na kuwa karibu nao. Ni ulimwengu wa ushawishi, mtu anakula kwa ushawishi alionao kidunia, mtu anapata masoko ya bidhaa zake kwa ushawishi wa kiongozi wake kuwa karibu na wakurugenzi wa makampuni makubwa.

Tunapata wigo mpana wa watalii kwa uongozi wetu kuwa sehemu ya dunia pana. Tatizo lako nyboma umezikariri mno falsafa za JPM kiasi ambacho unaamini rais ni lazima apitie njia zile zile alizoziamini yeye.
 
Back
Top Bottom