The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Naanza na Mkeo taahiraWadnganye matahira wenzako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza na Mkeo taahiraWadnganye matahira wenzako.
Hapo tayari M/kiti wa kamati ya mapokezi yupo busy anandaa bajeti ya kumpongeza na kumpokea Bihanganya pindi atakaporudi
Kisha muwaite madikiteta !!! Au Jiwe ?? Au ???!😁😁😁😁😁Rais Vasco da Gama. Habari za wananchi sio kitu kwake. Anyways,amalizie muda wake atoke tupate viongozi makini wasio malimbukeni wa safari.
Wewe na nani mliopatikana?Tumepatikana!!
AhahahahahaKuwashwa na kalio sio issue ww unawashwa na lile duara'dogo
Hiyo safari lazima aende maana anakwenda kuficha pesa za ufisadi ni kama mkwere tu ,hapo naamini si chini ya $200mil zinatoroshwa kifisadiKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Wewe una hangaika na hao mbuzi jike? Waulize wakupe hoja zao sasa ni vituko.Waswahili hamna jema,tangu enzi za JPM mama Samia ndo alikuwa akimuwakirisha JPM kwenye maswala yote ya kimataifa,.
Tuacheni chuki zisizo na mantiki
#mbowe ni gaidi
Unahangaika sana kijana.
acheni hizo mbona mimi kila wiki naenda Dar kufungua fursa. Mwanamme kila siku uko mitaani kutafuta fursa shida iko wapiHata kama ndio kufungua Nchi hii speed imezidi🤣🤣🤣
Achana na hao mburula mkuu,hao wanakaa kwao hata mwaka hawajahi toka Nje ya Mkoa .acheni hizo mbona mimi kila wiki naenda Dar kufungua fursa. Mwanamme kila siku uko mitaani kutafuta fursa shida iko wapi
Dubai Expo ni 77Mama anaenda kushiriki maonesho aina ya sabasaba kweli? Ndio amefikia hatua hii?
Nalisikitikia taifa langu la Tanzania kwa kupata mzurulaji mzuri kama huyu
Huyu maza anapenda safari jamaniKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Huyu yeye anawaza safari tu hakuna kingineAisee,tena?
Na simu yenyewe unayotumia kumbe ni TECNO? Ni halali yako kuhangaika hivi, piga kazi jioni ukachukue 7000 yako.