Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

😁😁😁😁😁Rais Vasco da Gama. Habari za wananchi sio kitu kwake. Anyways,amalizie muda wake atoke tupate viongozi makini wasio malimbukeni wa safari.
Kisha muwaite madikiteta !!! Au Jiwe ?? Au ???!
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Hiyo safari lazima aende maana anakwenda kuficha pesa za ufisadi ni kama mkwere tu ,hapo naamini si chini ya $200mil zinatoroshwa kifisadi
 
Ahahahahaha
Makolo mnafarijiana 🤣🤣.

Ni Samia tena 👇

IMG-20220223-WA0028.jpg
 
Waswahili hamna jema,tangu enzi za JPM mama Samia ndo alikuwa akimuwakirisha JPM kwenye maswala yote ya kimataifa,.

Tuacheni chuki zisizo na mantiki

#mbowe ni gaidi
Wewe una hangaika na hao mbuzi jike? Waulize wakupe hoja zao sasa ni vituko.

Kwamba wao Wana akili kuliko hata Hawa wenzetu wanaopigana vikumbo kwa the same issue Samia is fighting for👇

Screenshot_20220223-121637.png
 
Jobless wa Jf utawajua hata kwenye michango yao tu, Oooh mama..mama..mama..wanasahau kuwa wana mama zao huko walikowaacha.

Ni lazima mjikombe-kombe.
 
Naona "Royal tour" inafanya kazi kikamilifu. Chifu Hangai ameamua kuhamishia ofisi angani. Yajayo hayajulikani
 
Mama anaenda kushiriki maonesho aina ya sabasaba kweli? Ndio amefikia hatua hii?

Nalisikitikia taifa langu la Tanzania kwa kupata mzurulaji mzuri kama huyu
Dubai Expo ni 77
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Huyu maza anapenda safari jamani
 
Back
Top Bottom