Rais Samia kuruhusu watu wajadili mkataba wa bandari tayari ni legacy

Rais Samia kuruhusu watu wajadili mkataba wa bandari tayari ni legacy

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
 
Habari wanaJF. Natumaini mko poa. Kwa takribani wiki 2 nilikuwa nikitumikia adhabu ya account yangu kuwa banned kwa kile kilichotajwa kama matumizi ya lugha za matusi kwenye comments zangu. Mimi ninaamini KIOO CHA MTU NI MTU kwa maana kuna wakati huwezi kuona mabaya yako hadi mtu mwingine akuonyeshe. Inawezekana kweli nilikuwa natukana kwahiyo nawataka radhi wote niliowakwaza na nitajitihidi kutotukana member yeyote HADI PALE KUTAKAPOTOKEA ULAZIMA WA KUFANYA HIVYO.

Nikiwa kwenye adhabu nilipata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga. Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa. Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Kweli we jinga.
1. Rais hana haki, wajibu au mamlaka ya kuruhusu/kukataza hii mijadala.
2. Sio rais aliyeweka banana mkataba. Umevujishwa na mzalendo fulani, na hii kitu imelete maumivu sana kwa serikali.
 
Habari wanaJF. Natumaini mko poa. Kwa takribani wiki 2 nilikuwa nikitumikia adhabu ya account yangu kuwa banned kwa kile kilichotajwa kama matumizi ya lugha za matusi kwenye comments zangu. Mimi ninaamini KIOO CHA MTU NI MTU kwa maana kuna wakati huwezi kuona mabaya yako hadi mtu mwingine akuonyeshe. Inawezekana kweli nilikuwa natukana kwahiyo nawataka radhi wote niliowakwaza na nitajitihidi kutotukana member yeyote HADI PALE KUTAKAPOTOKEA ULAZIMA WA KUFANYA HIVYO.

Nikiwa kwenye adhabu nilipata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga. Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa. Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Mama ni kiboko ya marais uchwara wote waliokufa,
Ohooo sorry nilitaka kuandika waliopita
Hizi simu janja ni shidaaaa

Hongera Sana mama
 
Kweli we jinga.
1. Rais hana haki, wajibu au mamlaka ya kuruhusu/kukataza hii mijadala.
2. Sio rais aliyeweka banana mkataba. Umevujishwa na mzalendo fulani, na hii kitu imelete maumivu sana kwa serikali.
Kwanini baadhi ya watu mnapenda kujifanya ni vipofu hamuoni? Rais angeamua kunyamazisha huu mjadala asingeshindwa. Angeuzima mapema na hakuna yeyote ambaye angethubutu kuongelea. Kasome tena katiba ya JMT ujue nguvu alizo nazo Rais wa JMT na mwenyekiti wa CCM. Mama kaamua tu kuwa muungwana ndo maana watu wanajitoa ufahamu kama kina Lissu.
 
Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi ya ajabu sana!

Ni vigumu kuamini watu mko wapumbavu kiasi hiki.

Maybe you’re not that stupid. Maybe you’re just trolling.

I hope [not with bated breath] that it’s the latter
 
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Hu mpumbavu , kwani rais na anawapa pumzi wenye nchi ? Pumbavu
 
Toa chenga hapa .........kwani wakizingua mikataba wanalipa wao?? Wenyewe wako Dunia yao ya bila kulipa kodi mpaka kifo.........sisi ndio tuwepewe maua yetu (wananchi wajinga kwa uvumilivu uliokubuhu)wa kulipq kila uozo unaoretwa na wasomi wajinga wa taifa hili tajili lakini raia mbumbumbu
 
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Ni legacy kwa kuwa hakuna aliyewahi kulifanya hili hadharani,ili lijadiliwe na umma,ni mwanamama HUYU shujaa pekee!
 
Kuruhusu? Au sijakuelewa vizuri? Ameruhusu nini ambacho kimekataliwa? Na amemruhusu nani? Kwa amri ipi? No wonder bado tunajengewa matundu ya vyoo hadi leo.
 
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Legacy ni kutoingia huo mkataba mbovu na sio vinginevyo!
 
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Nahisi wewe uliishia darasa la Pili ukapewa mimba.
Maana mawazo Yako ni takataka
 
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Alievuji huu mkaba ni shujaa wa nchi hii apewe mau yake, huu mkataba umewavua nguo na mtaondoka nao.
 
Habari wanaJF.

Nimepata wasaa mzuri wa kutafakari haya mambo ya bandari na huu mchuano unaendelea kati ya wanaosapoti mkataba na wanaopinga.

Kwa vyovyote itakavyokuwa lazima tukubali kwa mara ya kwanza tumepata Rais anayependa ukweli na uwazi kwa vitendo. Haijawahi tokea wananchi wakajadili mikataba ya serikali kama hivi sasa.

Hii inamaanisha kwamba Rais alitaka kujua maoni ya Watanzania wote ndo maana akaruhusu huu mjadala. Kwa miaka mingi sisi wananchi huwa tunakuja kugundua mikataba ya kilaghai wakati tayari hela zishapigwa.

Kwa pamoja bila kujali itikadi za vyama, dini wala kabila tumpe maua yake Rais Samia Suluhu Hassan. Hii tayari ni legacy.
Kuna nini kimetokea? Mbona kama mnatafuta pa kakimbilia? Mkataba umekamata koo?
 
Back
Top Bottom