Saizi bidhaa za china zinajaa kwa gharama ya viwanda vya nani? Mna viwanda nyie au ni vya investors? Wao wataji tune kuendana na bit.
Kwani EPA ni kuruhusu bidhaa kutotozwa Kodi?
Umenijibu swali langu? Nani kakwambia EPA ni kutokutoza Kodi bidhaa?Lakini bidhaa za China na kwingineko angalau tunatoza kodi haziji na kuuzwa bila kodi!
Bora kunywa juice kutoka ulaya IQ inatengamaa kuliko juisi ya mswahili mwenzako ambayo haina vigezowenzio huku west africa juice zao nyingi za kutoka Europa. Wenye viwanda kazi kwao hili washindane na imported goods. Je mazao yetu yana kiwango cha kushindana na wakulima wa mabeberu au ndo tutauza tu kwa wenzetu hapa Africa?
Huko tuendako nadhani nafasi ya u Makamu wa Rais itatiliwa maanani
Lakini mbona umeshachangia..Kwanza umekurupuka. Unaongea uvumi, pili unatakiwa kuweka mkataba hapa na sio kuongea kishabiki. Hatuwezi kuchangia uzushi na bila vielelezo. Kama ni mawazo yako binafsi sema kwamba unaongea bila kujua mkataba ukoje.
Haki yake kwani Nani alimchaguaNimesoma na kusema ilkabidi nicheke tuu! Kusema kweli Rais wetu si mwenye tabia ya kusoma vitu hata kidogo! Sitashangaa yeye akisaini kwakuwa kaambiwa! Rais wetu yeye huwa akikutana na mkataba ni kusaini tuu wala sina hakika kama anao muda wa kusoma hata kidogo...
Hicho kitabu napata wapi?Nimejikuta nimemkumbuka Nazir Karamagi na mkataba wake aliosaini hotelini London awamu ya 4.
Ok sawa, ngoja niendelee kusoma kitabu cha Mwl Nyerere "Uongozi wetu na hatma ya Tanzania"
Tarrifs ziko za aina nyingi,tarrifs gani unazungumzia?Moja kati ya makubaliano ya free trade Agreements ni eliminations tariffs !
Rais SSH alikuwa kazi yake kukinga bakuli kwenye NGO, then aanze kusoma ma-mikataba. Hapo tumekula hasara tena kubwa sana. Muda utaongea, tuliyaona kwa JMK.Huko tuendako nadhani nafasi ya u Makamu wa Rais itatiliwa maanani
Tarrifs ziko za aina nyingi,tarrifs gani unazungumzia?
Tuna vingi vya ku export
View attachment 2119619
View attachment 2119620
View attachment 2119621
View attachment 2119622
Maktaba ya TaifaHicho kitabu napata wapi?
utaratibu wa kusaini mkataba kwani umekaaje? maana huwa napata shida sana juu ya mikataba inayosainiwa na viongozi wa nchi hii, yaani ingependeza kwamza mikataba yote ipitie bungeni na kwa mwanasheria mkuu wa serikali, lakini cha kusikitisha hii nchi akija tu muwekezaji ataitwa waziri mwenye dhamana watakaa na kufanya mazungumzo yao, wakimaliza waziri anaanguka sain baadae tunaanza kupamba tu vichwa cha habari magazetini kwamba tumeshampata mwekezaji.....hii nchi ya hovyo sanaNimesoma na kusema ilkabidi nicheke tuu! Kusema kweli Rais wetu si mwenye tabia ya kusoma vitu hata kidogo! Sitashangaa yeye akisaini kwakuwa kaambiwa! Rais wetu yeye huwa akikutana na mkataba ni kusaini tuu wala sina hakika kama anao muda wa kusoma hata kidogo.
Rais Samia ana udhaifu wa kutopenda kufatilia kujipa muda wa kujitafakari na kupitia mambo yeye huwa ni mtu wa kuanguka tuu sahihi hana muda kabisa.......
Nakumbuka hata ule mkataba pale bandarini alishiriki utiwaji saini baadae akaja kugundua aliingizwa cha kike
Lakini Rais Samia anahitaji kushauriwa zaidi kabla ya kusaini mikataba ni lazima tuangalie mbele na tujiulize je viwanda vyetu na huo uchumi wa viwanda tutafika kweli?
Rais Samia lazima awe makini kwa watu wake wanao mshauri!
[emoji23][emoji23][emoji23]Bavicha walisema wanaponywa majerahaMama anaupiga mwingi [emoji1787][emoji23]
Umeandika nini sasa na wewe?Acha ushabiki maandazi kama wa yule marehemu.... utamudu bidhaa ya ulaya wewe?
EPA ilikataliwa kishabiki sana.
kama viwanda vyetu vinatuuzia bei ghali vife tu, kama ni ajira tutafanya uchuuzi wa bidhaa za ulayaKwa gharama ya Viwanda vyetu ? Vipi kuhusu ajira za watu wetu waliojiriwa kwenye hivi viwanda vyetu? Vipi kuhusu mapato ya kodi tunayoyapata sasa hivi kwa kutoza kodi imports ? Nani atafidia hiyo yote ?
Bidhaa zitatoka ulaya Kama finished product, no need for electricity. Kwa hiyo viwanda vingi vitafungwa sababu bidhaa Toka nje hazilipi KodiHao Investors wanakuja na generators zao au umeme huu huu wa MW 1500 unaokatika kuanzia asubuhi hadi saa sita usiku ? Atamuuzia nani hizo products kwa gharama kubwa ya usalishaji kiasi hicho?
Unajua Tanzania ni moja kati ya nchi zenye gharama kubwa sana ya umeme/ KWh ?