Rais Samia Kushiriki Mkutano wa BRICS, Afrika Kusini

Rais Samia Kushiriki Mkutano wa BRICS, Afrika Kusini

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Rais Samia Suluhu Hassan akiwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Air Force Base, Pretoria,nchini Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo nakulakiwa na viongozi mbalimbali akiwemo Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Meja Jenerali Gaudence Milanzi na viongozi mbalimbali waandamizi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Afika Kusini ambapo Mhe Rais atashiriki Kikao cha #BRICSSummit2023 #BRICS2023 #BRICSSummit

F4NCgERXEAATrP8.jpeg
F4NCgEKXwAAf-MV.jpeg
F4NCgESW0AADB8M.jpeg

F4NCgEKWgAArnBQ.jpeg
 
Si Jana alikuwa anampokea rais wa Indonesia?
Unauhakika yupo South Africa kweli?

Sijaona kama anaamini siasa za mrengo wa BRICS.
 
Sijaelewa, Rais anapokelewa na balozi wetu tu bila wenye nchi kuwepo? Labda labda....
Balozi wetu lazima awepo lakini kwenye picha si unamuona Waziri wa Afrika Kusini
 
Back
Top Bottom