Karibu saana mkuu.Kwamba South Africa ni mbali kiasi hicho hawezi kuwa amefika?
Tanzania imealikwa,endelea kuamini hivyo hivyoSi Jana alikuwa anampokea rais wa Indonesia?
Unauhakika yupo South Africa kweli?
Sijaona kama anaamini siasa za mrengo wa BRICS.
Hilo lichama Lisilo na ajenda Kila uzushi ndio ajenda yaoKuna wale walisema ndege imeshikiliwa dubai hicho nini?
Hayo matatizo yao binafsi sasa. Anapofanya jambo zuri au move nzuri tumpe hongera zakeHadomo watasema amepokelewa na Balozi ππ
Hii ni ya Uganda mkuu...Kuna wale walisema ndege imeshikiliwa dubai hicho nini?
Si Jana alikuwa anampokea rais wa Indonesia?
Unauhakika yupo South Africa kweli?
Sijaona kama anaamini siasa za mrengo wa BRICS.