Rais Samia kuwa mgeni rasmi kongamano la BAWACHA siku ya wanawake duniani

Kwenye hili Mbowe angewaacha Mwenyekiti na Katibu Mkuu watambe kwenye siku yao. Wasiigeuze hiyo siku kuwa ya Chadema ( high table kujaa wanaume wenzake) na sio ya Bawacha. Ampokee Mwenyekiti mwenzake halafu amuache aselebuke na wanawake wenzake. Atajijengea heshima akikubali kufunikwa na wanawake kwenye siku yao.

Amandla...
 
Hii ndiyo njia JPM alitakiwa kuitumia Kuiua CHADEMA na si ile aliyoitumia!

Ni swala la Muda tu, watanzania wataamua watakavyo pigia chama gani katika uchaguzi Mkuu!

Maisha yanakwenda kwa kasi sana!
kwa taarifa yako watanzania wengi wamepuuza kitu kiitwacho uchaguzi. Tegemea kuona idadi ndogo sana ya wapiga kura chaguzi zijazo.
 
Umoja wa Wanawake wa Chama Kingine Wao wako busy tu Kugombania Mabwana za Watu na Kurogana ili Teuzi ziwakute Wao tu.
 
Nini maana ya opposition katika tafasiri ya lugha ya kiswahili ?
 
Hoi nimeilewa sana kwakweli, nikiwa kama mtanzania mwenye kupenda kuona tunaishi kama ndugu hili ni Heko sana
 
Siasa za kishamba za jiwe kwa sasa hazina nafasi,najua wafuasi wake mnaumia sana.
 
Kuna chama cha upinzani kinajiua chenyewe bila kujua.
Duh.
Kama huwezi kuwashinda basi ungana nao tu utawashinda.
 
Sukuma gang hii taarifa kwao ni msumali wa moto...povu lazima liwatoke [emoji23][emoji23][emoji854]
 
Sitashangaa kwenye hilo kongamano akaingilia mhimili wa Bunge. Ujue mhimili wa Mahakama tayari. Yote ni kuhakikisha kila kiumbe nchi hii kinashiriki kufuta legacy ya JPM. But will they make it? Juzi nilipita daraja la Wami my goodness. Kila binadamu alisimama kumkumbuka JPM. Hawa watu wana kazi isiyodirikika
 
Mnavyopenda vita na machafuko chadema mmeumbuka
 
Neno sahihi ni USHINDANI
 
SIDHANI, MAANA CCM WANAVITAKA VYEO HIVYO NA NDIO UTAKUWA MWISHO WA CCM NA KUGAWANYIKA, HWAWEZI KUBALI KITU KAMA HICHO. UMEKWENDA MBALI MNO........
 
Hii ndiyo njia JPM alitakiwa kuitumia Kuiua CHADEMA na si ile aliyoitumia!

Ni swala la Muda tu, watanzania wataamua watakavyo pigia chama gani katika uchaguzi Mkuu!

Maisha yanakwenda kwa kasi sana!
Siasa ni nini? Ni kama kutongoza chama ni kijana wa kiume serikali ni wakike .ukitaka akukubali tumia ushawishi sio kumteka mwenzio anaetongoza kumtupa jela kisa kakako polisi .
 
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
You have a point on this aspect!
 
Mama Samia anaenda kuweka historia tangu nchi ipate uhuru kuwa ni rais wa kwanza mwanamke lakini ni rais mwenye viwangu vya juu vya hekima na busara. Uongozi ni kipaji lakini hekima na busara mama Samia ana kipaji Cha uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…