Kwani kuna taswira gani hivi sasa kwa wananchi? Unajua tusiangalie haya mambo kimtandao mtandao tu...Sukuma Gang wanachukia.
..Na Raisi anakwenda huko ili kujijengea taswira njema kwa wananchi, na nchi wafadhili wanaotupa misaada.
Kumbuka Samia anatoka Zanzibar hajazoea ujambazi na uhuni wa bara. Dini yake inamfunga kuwa kila mtu ana haki sawa hakuna aliye juu ya mwenzake na ukumbuke ni muislamu siyo dini ya kijinga na ya kijasusi na ya kuuana ya kikristo
Kwani kuna taswira gani hivi sasa kwa wananchi? Unajua tusiangalie haya mambo kimtandao mtandao tu.
Karume mkubwa si aliuawa na nyerere au..Samia atakuwa ktk uhalisi wake na kutoa makucha wakati wa Uchaguzi na kutangaza matokeo.
..Sasa hivi Ccm na Cdm wanatumiana tu. Subirini 2024 na 2025 muone kitakachotokea.
..JK mnayemsema ni muungwana si ndio alipora uchaguzi wa Znz akimtumia Bwana Jecha.
..Na unasema Znz hawajazoea ukatili umesahau mauaji ya wakati wa Karume mkubwa?
Ni mpumbavu kama wewe anaamini kuwa rais ni wa wanaccm tu na wananchi wengine wanaishi nchini bila ya kuwa na rais! Wapumbavu hawa hawajui kuwa rais ni kiongozi wa kiserikali na siyo kiongozi wa CCM.Ni uthibitisho kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamelamba asali.
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
Mbowe anaigeuza Chadema kuwa tawi la CCM.
Na ni ushahidi kuwa akina Mbowe wanampigia kampeni ya urais Samia in exchange ya viti vichache vya ubunge watakavyogawana akina Mbowe na genge lake.
Acha udini na kuona dini yako ndio bora kula nyingine.niambie dini gani inarusu ujambazi na uhuniKumbuka Samia anatoka Zanzibar hajazoea ujambazi na uhuni wa bara. Dini yake inamfunga kuwa kila mtu ana haki sawa hakuna aliye juu ya mwenzake na ukumbuke ni muislamu siyo dini ya kijinga na ya kijasusi na ya kuuana ya kikristo
Hii ndo ilikuwa njia sahihi kwake Tena alitakiwa awe rafiki nao zaidi ndo atumie kupigana na wafanya biashara wale aliopambana nao then dk za 90 ndo aje awasalitiHii ndiyo njia JPM alitakiwa kuitumia Kuiua CHADEMA na si ile aliyoitumia!
Ni swala la Muda tu, watanzania wataamua watakavyo pigia chama gani katika uchaguzi Mkuu!
Maisha yanakwenda kwa kasi sana!
Kwahiyo inabidi tunzingatie kipengele cha dini tunapotaka kuchagua rais wa nchi ili tusipate marais wauwaji?Kumbuka Samia anatoka Zanzibar hajazoea ujambazi na uhuni wa bara. Dini yake inamfunga kuwa kila mtu ana haki sawa hakuna aliye juu ya mwenzake na ukumbuke ni muislamu siyo dini ya kijinga na ya kijasusi na ya kuuana ya kikristo
Wewe sukuma gang nini?..Samia atakuwa ktk uhalisi wake na kutoa makucha wakati wa Uchaguzi na kutangaza matokeo.
..Sasa hivi Ccm na Cdm wanatumiana tu. Subirini 2024 na 2025 muone kitakachotokea.
..JK mnayemsema ni muungwana si ndio alipora uchaguzi wa Znz akimtumia Bwana Jecha.
..Na unasema Znz hawajazoea ukatili umesahau mauaji ya wakati wa Karume mkubwa?
mamayenu analambisha rushwa huku anapambana nayo unategemea ataweza kutokomeza rushwa huko lumumba.Ni uthibitisho kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamelamba asali.
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
Mbowe anaigeuza Chadema kuwa tawi la CCM.
Na ni ushahidi kuwa akina Mbowe wanampigia kampeni ya urais Samia in exchange ya viti vichache vya ubunge watakavyogawana akina Mbowe na genge lake.
Ndio kwa wananchi kuna taswira hiyo?..bado kuna taswira ya chuki, ubaguzi, na ukatili wa Magufuli dhidi ya wapinzani.
Jiwe alikuwa anaigawa nchi kwenye vipande vipande ili aweze kuitawala kirahisi maana hakuwa anajiamini.Nimependa kusikia kwamba Watanzania sasa wanaishi kama ndugu na wanashirikiana.
Watanzania miaka yote tumekaa pamoja kwenye familia, kwenye mahusiano, kanisani, kazini na maeneo mbalimbali yanayotuleta pamoja.
Lakini Watanzania hao hao tumekuwa maadui kwenye ulingo wa siasa. Maana yake tunaelewana na kusema NI ndugu kwenye kila kitu Ila inapokuja kwenye siasa tunafanya unafiki kwamba Sisi siyo ndugu.
Naamini makubaliano ya Mbowe na Mhe. Rais kuhusu Rais kuwa mgeni rasmi siku ya wanawake yamepokelewa Kwa mtizamo tofauti. Nini maoni yako?
Maoni yangu Mimi NI haya;
Mhe. Rais kuwa mgeni Rasmi kwenye mkutano wa chadema nikutuma salamu Kwa vyombo vya dola kwamba Tanzania sasa NI moja. Nikutuma salam Kwa viongozi Aina ya Muro, Makonda, Mnyeti, Gambo, Nape, Mwigulu, Ndugai, Mkumbo, Molel, Tulia, Bashiru, Kabudi, Lukuvi, nk kwamba siyo lazima uwe na roho ya kikatili Ndipo ukubalike au uongoze....Duniani tunapita ccm au CDM tutaviacha......Sisi NI ndugu.
chadema haihitaji hio serikali kama hamjui na hatuko tayari kuungana na mauwaji kwenye serikali.Labda siyo CCM!
Jiwe hatokaa asameheweUmeongea vizuri sana
Tena wote wawe waislam kwa sababu waislam ni watakatifuKwahiyo inabidi tunzingatie kipengele cha dini tunapotaka kuchagua rais wa nchi ili tusipate marais wauwaji?
Naunga mkono hojaNimependa kusikia kwamba Watanzania sasa wanaishi kama ndugu na wanashirikiana.
Watanzania miaka yote tumekaa pamoja kwenye familia, kwenye mahusiano, kanisani, kazini na maeneo mbalimbali yanayotuleta pamoja.
Lakini Watanzania hao hao tumekuwa maadui kwenye ulingo wa siasa. Maana yake tunaelewana na kusema NI ndugu kwenye kila kitu Ila inapokuja kwenye siasa tunafanya unafiki kwamba Sisi siyo ndugu.
Naamini makubaliano ya Mbowe na Mhe. Rais kuhusu Rais kuwa mgeni rasmi siku ya wanawake yamepokelewa Kwa mtizamo tofauti. Nini maoni yako?
Maoni yangu Mimi NI haya;
Mhe. Rais kuwa mgeni Rasmi kwenye mkutano wa chadema nikutuma salamu Kwa vyombo vya dola kwamba Tanzania sasa NI moja. Nikutuma salam Kwa viongozi Aina ya Muro, Makonda, Mnyeti, Gambo, Nape, Mwigulu, Ndugai, Mkumbo, Molel, Tulia, Bashiru, Kabudi, Lukuvi, nk kwamba siyo lazima uwe na roho ya kikatili Ndipo ukubalike au uongoze....Duniani tunapita ccm au CDM tutaviacha......Sisi NI ndugu.
ACT ni janga lingine la siasa za mageuzi hapa nchini baada ya Jiwe ukiwepo na wewe na kaka yako zzk.Ni uthibitisho kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamelamba asali.
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
Mbowe anaigeuza Chadema kuwa tawi la CCM.
Na ni ushahidi kuwa akina Mbowe wanampigia kampeni ya urais Samia in exchange ya viti vichache vya ubunge watakavyogawana akina Mbowe na genge lake.
Yaani mimi ninafuraha ile mbaya sana kuyaona hayo masukuma gang yakiteseka wakiwemo ACT..SUKUMA GANG watajinyonga kwa taarifa hizi.