Vumilia. Najua inauma sana ila Mbowe kama mmiliki wa chama ndo kashaamua.Usijizungushe, anaenda Kama Rais na pia Kama kiongozi mkuu mwanamke.
kwanini mnapenda watu wawe wanafiki?Hii ndo ilikuwa njia sahihi kwake Tena alitakiwa awe rafiki nao zaidi ndo atumie kupigana na wafanya biashara wale aliopambana nao then dk za 90 ndo aje awasaliti
Labda asali inayopatikana katikati ya mapaja ya mamakoNi uthibitisho kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamelamba asali.
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
Mbowe anaigeuza Chadema kuwa tawi la CCM.
Na ni ushahidi kuwa akina Mbowe wanampigia kampeni ya urais Samia in exchange ya viti vichache vya ubunge watakavyogawana akina Mbowe na genge lake.
Huyo jamaa ni mwana ACT lkn nashangaa ni shida gani anaumia sana kuona CDM wanafikia muafaka na mamlaka husika ili kuleta amani.Labda asali inayopatikana katikati ya mapaja ya mamako
Hata mimi nashangaa ACT imekuwaje ghafla kuwa mshauri wa chadema? Chadema wakimpinga rais ACT na CCM hulalamika, na vilevile wakimsifia Rais hulalamika vilevile. Sasa unajiuliza hawa raia ni watu wa namna gani?Huyo jamaa ni mwana ACT lkn nashangaa ni shida gani anaumia sana kuona CDM wanafikia muafaka na mamlaka husika ili kuleta amani.
Kwakuelewa ni raisi wa nchi na mwanamama ndio maana nikaandika isingekuwa jambo la kushangaza kama hiyo sherehe ingekuwa imeandaliwa na vyama vyote.
Lakini ukishasema ni hafla ya BAWACHA halafu mgeni rasmi ni mwenyekiti wa CCM ni jambo la kushangaza kidogo; na ndio maana binafsi naona itakuwa interesting kusikia hiyo theme ya mkutano wao kesho na kitakachoongelewa.
Unajua psychologically to make something special inabidi uwaaminishe watu it’s special.
Sasa kama mwenyekiti wa chama pinzani ndio mgeni special kwenye mkutano wenu hiyo ni message gani kwa wananchi na wanachama wa CDM.
Keshokutwa viongozi wa BAWACHA wakimkosoa Bi Tozo tukawaita wanafiki kupitia mkutano wao ambao chances watatumia muda mwingi kumpamba utakataa vipi hao watu kuitwa wanafiki wakati mwenyekiti wa CCM ni shujaa wao.
Hao ni wanafiki wanachohitaji ni kuona wanakuwa wao chama kikuu cha upinzani wakati sifa hizo hawana.Hata mimi nashangaa ACT imekuwaje ghafla kuwa mshauri wa chadema? Chadema wakimpinga rais ACT na CCM hulalamika, na vilevile wakimsifia Rais hulalamika vilevile. Sasa unajiuliza hawa raia ni watu wa namna gani?
Machawa kama nyinyi mtalia lia sana kwa utawala huuJe hivi ndivyo itakavyokuwa?
1. Bawacha hawataweza kumkosoa Ssh.
2. Ssh hataweza kuwakosoa Bawacha.
Kwamba yeyote atakayemkosoa mwenzake ataitwa mnafiki?
Jambo jema sanakwenda mbele zaidi kwenye umoja kiongozi wa Chadema apande jukwaa la ccm na wa ccm apande jukwaa la Chadema hata atoe salamu tu kwa wanachama
tukifika huko sasa kuelekea katiba mpya na tume huru itakua simple.
JokaKuu Kalamu brazaj zitto junior econonistNi uthibitisho kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamelamba asali.
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
Mbowe anaigeuza Chadema kuwa tawi la CCM.
Na ni ushahidi kuwa akina Mbowe wanampigia kampeni ya urais Samia in exchange ya viti vichache vya ubunge watakavyogawana akina Mbowe na genge lake.
Watz hawapendi umoja na urafiki sio sababu ni niniMachawa kama nyinyi mtalia lia sana kwa utawala huu
Wamefura..SUKUMA GANG watajinyonga kwa taarifa hizi.
Mambo yanazidi kunoga haya!
Pigo kubwa sana kwa walinda legacy!!Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lililoandaliwa na Baraza la Wanawake (Bawacha) wa chama hicho.
Akizungumza na vyombo vya habari leo Jumapili, Machi 05, Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, amesema Rais Samia amethibitisha kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano hilo litakalofanyika Machi 08 Moshi mkoani Kilimanjaro.
“Kongamano hili la siku ya wanawake duniani ni la wanawake wote, lakini hapa Tanzania, Bawacha wamekuwa wakiliandaa kwa mafanikio makubwa kila mwaka na wamekuwa wakitoa hotuba zenye jumbe mbalimbali zinazowahusu wanawake wote bila kujali itikadi za vyama vyao.
“Napenda kuwatangazia kuwa Rais Samia ambaye nilikuwa na mazungumzo naye jana Jumamosi, amekubali kuwa mgeni Rasmi siku hiyo na mimi nitampokea mjini Moshi siku hiyo,” alisema Mbowe
Rais Samia kukubali kuhudhuria na kuwa mgeni rasmi kwenye kongamano linaloandaliwa na chama kikuu cha upinzani ni matunda ya maridhiano ya kisiasa yanayoendelea kufanywa na chama chake (CCM) na Chadema.
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKIWAPUNGIA WAJUMBE KWENYE MOJA YA MIKUTANO YA CHAMA CHAKE (CCM) AMBAPO YEYE NI MWENYEKITI TAIFA
Maridhiano hayo awali yalianza baada ya Rais Samia kuunda kikosi kazi cha kuishauri serikali kuhusu mwenendo wa kisiasa nchini.
Lakini maridhiano yalitiwa chachu baada ya kikao cha kwanza kati ya Rais Samia na Mbowe kukutana Ikulu, Machi 04, 2022 siku ambayo Mbowe alitoka gerezani baada ya Serikali kuifuta kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili mwanasiasa huyo.
Kati ya mambo ambayo Chadema waliyapeleka kwa Rais na kutaka yarekebishwe haraka ni pamoja na kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa wa Chadema, jambo ambalo kwa asilimia kubwa limeshafanyika.
Jambo la pili ni kuweka usalama kwa wakimbizi wa kisiasa waliokimbia nchi. Tayari viongozi wa Chadema waliokimbia nchi wamesharejea. Viongozi hao ni Tundu Lissu, Ezekia Wenje na Godbles Lema.
Jambo la tatu lililodaiwa na Chadema ni kuondoa zuio la mikutano ya hadhara ambapo tayari Januari mwaka huu, Rais Samia ameondoa zuio hilo.
Jambo la nne ni upatikanaji wa Katiba mpya ambapo mpaka sasa mchakato haujaanza.
View attachment 2538065
Mimi nilisema mara ya kwanza, baada ya kumsikia Mbowe kwenye hotuba yake kule alikoitoa kwa Diaspora, kwamba "CHADEMA KWISHA"..., sasa narudia CHADEMA mahututi, sijui kama itasalimika.Misingi ya chadema inavunjika