Upo sahihi boss, hata maridhiano ya Ccm na CUF chini ya Maalim Seif (Rip) huko Zanzibar yalienda kwa mwendo huu huu, ila kilichotokea mwaka 2015 na baadae 2020 sote tulikiona...Samia atakuwa ktk uhalisi wake na kutoa makucha wakati wa Uchaguzi na kutangaza matokeo.
..Sasa hivi Ccm na Cdm wanatumiana tu. Subirini 2024 na 2025 muone kitakachotokea.
..JK mnayemsema ni muungwana si ndio alipora uchaguzi wa Znz akimtumia Bwana Jecha.
..Na unasema Znz hawajazoea ukatili umesahau mauaji ya wakati wa Karume mkubwa?
Nimefuatilia comments nying humu zikiwaponda CDM na kulaumiwa wamelambishwa asal na mengine! But kipind cha nyuma haohao walikua wanailaum CDM kwa siasa zao chafu, mara hawana adabu, mara wanatukana, mara hawaitakii aman Nchi yetu. Sasa nna swali....Je mnataka CDM wafanye siasa kwa mtindo upi? Yaan hakuna jema kwenu!Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi kwenye tukio la kina mama siku ya wanawake duniani, na hii ni habari njema sana kwa wanawake nchini Tanzania na duniani kote.
View attachment 2538073
=
Hatuwezi kujinyonga wala hatuwezi kushindwa....Samia yuko chini yetu anatafta Namna ya kujiondoa chini yetu,Na hapo ndo tutafanya strike attack ya hatareee 2025...SUKUMA GANG watajinyonga kwa taarifa hizi.
Hekima kaipata wapi wakati nchi inazidi kuzama na yeye ana nunua tu Magori ya simba na yanga na kujipanga kuudhulia Kongamano la CDM,Hekima ni kupanga na kupanga ni kuchagua....2025 atajikuta mwenyewe.Raisi SSH ana hekima sana
Vice versa is also true...Safi Sana CHADEMA, naona mmebadilisha approach ya Vita.
This is way out of line, namuomba radhi kwa niaba yako.Labda asali inayopatikana katikati ya mapaja ya mamako
Sasa unavyoshabikia Urusi unafikiri ni waislam wenzako wale?Hii ndo dini ya mnyazi mungu tunataka muslimu ili msije ikosa Pepo. Ukifa mkristo unaingia motoni mojakwamoja ndo mana Huwa tunataka msiende huko
Kama alivyokwisha jiweHahahahahah, CHADEMA Kwisha habari.
WSasa unavyoshabikia Urusi unafikiri ni waislam wenzako wale?
Urusi na USA zote hizo ni Christian majority countries.... mnanichekeshaga mnavyo jisahaulisha.
Yanalia na kusaga menoWamefura
Kikubwa ni kuirudisha amani na upendo kwa watanzania ndani ya nchi yetuMambo yanazidi kunoga haya!
Ni vizuri kwamba yanajipambanua kungali mapema ili watu wajipange kila mtu kivyake.
Mmoja kati ya hao waalikwa uliotuita hapa, tayari anasema ni "'win-win' scenario', kuhusu kukumbatiana huko kati ya Samia na Mbowe!
Mimi nasema 'bring it on'!
Lilivunjika jiwe itakuwa misingiMisingi ya chadema inavunjika
Tena legacy ya kulazimishaPigo kubwa sana kwa walinda legacy!!
Sukuma gang mnatia sana huruma kudadeekiMimi nilisema mara ya kwanza, baada ya kumsikia Mbowe kwenye hotuba yake kule alikoitoa kwa Diaspora, kwamba "CHADEMA KWISHA"..., sasa narudia CHADEMA mahututi, sijui kama itasalimika.
Eti Eeeh! Bhwanaaah?Kikubwa ni kuirudisha amani na upendo kwa watanzania ndani ya nchi yetu