Rais Samia kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Chuo cha Uongozi Mwalimu Julius Nyerere

Rais Samia kuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Chuo cha Uongozi Mwalimu Julius Nyerere

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu Mama Amesema Hakuna Kupoa Wala Kutulia Chini.
.
Rais Samia Kesho Jumatano atafungua ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Julius Nyerere kilichopo Kibaha mkoani Pwani.
.
Viongozi mbalimbali wa chama tawala na Serikali wameshiriki Ufunguzi huo, wakiwemo viongozi mbalimbali wa vyama vya ANC (Afrika Kusini), Swapo (Namibia), MPLA ( Zimbabwe), Frelimo (Msumbiji) na ZANU-PF.
.
Ufunguzi huo pia unatarajia kushuhudiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama cha Kikomunisti cha Watu wa China (CPC), Song Tao.
.
Akizungumza leo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka amesema chuo hicho kitakuwa kikiwaandaa viongozi na kuwapika makada wa chama hicho na vyama vingine vilivyoshiriki harakati za ukombozi kusini mwa bara la Afrika.
.
Shaka amesema, Hiki ni chuo cha CCM chenye lengo la kuwanoa viongozi wa chama kama ilivyokuwa miaka ya nyuma kwa hiyo tunatarajia darasa la mwanzo kabisa kuanza 2022 kitakapokamilika, amesema.
.
Hakuna Kupoa, Hangaya Hataki utani Kabisa
 
Huyu mama ni mzurulaji sijapata kuona bila shaka hata ujana wake ulikuwa na mambo mengi sana. Najiuliza sana briefings anazipitia muda gani?
 
Ufunguzi wa Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere Kibaha - Pwani utafanyika kesho Jumatano tarehe 23 Februari 2022 na Mgeni Rasmi atakuwa Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan.

Nyote mnakaribishwa

#MafunzoCCM
#KaziIendelee
#TunaImaniNaSamia

IMG-20220222-WA0023.jpg
 
CCM inapika Makada wake wawe Viongozi wazuri na kuimarisha Chama Kitaasisi zaidi. Vipi vile Vyama vingine vina hata Madrasa ya Uongozi? Ndo maana Vijana wa vile Vyama vya Upinzani wanachojua ni matusi tu na kutukana sababu hawajalelewa. CCM inalea Viongozi ndo maana unaona ina hazina kubwa sana ya Viongozi. Kesho tena, hapa Kibaha CCM iko kazini. Hongereni sana CCM.
 
Ndo maana Vijana wa vile Vyama vya Upinzani wanachojua ni matusi tu na kutukana sababu hawajalelewa. CCM inalea Viongozi ndo maana unaona ina hazina kubwa sana ya Viongozi. Kesho tena, hapa Kibaha CCM iko kazini. Hongereni sana CCM.
Heri James alilelewa? Mbona alikuwa mchafu kinywani kama dampo la Vingunguti kwa namna alivyokuwa akiporomosha mitusi jukwaani??

Sisiem inaandaa hazina ya ujambazi? Mbona Makonda na Sabaya walikuwa majambazi sugu?**???
 
CCM inapika Makada wake wawe Viongozi wazuri na kuimarisha Chama Kitaasisi zaidi. Vipi vile Vyama vingine vina hata Madrasa ya Uongozi? Ndo maana Vijana wa vile Vyama vya Upinzani wanachojua ni matusi tu na kutukana sababu hawajalelewa. CCM inalea Viongozi ndo maana unaona ina hazina kubwa sana ya Viongozi. Kesho tena, hapa Kibaha CCM iko kazini. Hongereni sana CCM.
Wakiandaa vikao vya chama ili waweke mikakati ya kutoa mafunzo na itikadi kwa wanachama wao..intelijensia ya policcm ipo mlangoni inafuatiria taarifa za uwepo wa fujo.

Hii sio sawa..game lina noga kila mchezaji iwe huru..mpizani kafungwa kamba miguuni kisha unamcheka hajui kukimbia kashindwa mbio..huu ni upuuzi.

Ndio mana muhimu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Huyu mama ni mzurulaji sijapata kuona bila shaka hata ujana wake ulikuwa na mambo mengi sana. Najiuliza sana briefings anazipitia muda gani?
Muheshimu Rais wa Nchi hii
 
Chuo kizuri sana ndugu bashiri ally alipigana sana icho chuo kusimama
 
Huyu mama ni mzurulaji sijapata kuona bila shaka hata ujana wake ulikuwa na mambo mengi sana. Najiuliza sana briefings anazipitia muda gani?
Ni kwa ajili ya taifa
Dunia ya sasa lazima ujichanganye na wenzio hata wewe huwezi ukajifungia ndani kwako

Tujitahidi kubadilisha fikra zetu akina Obama wakati wanazunguka dunia mbona hamjawahi kusema anapenda kuzurula ?
 
Aisee ngoja niombe nafasi pale lumumba nikasome haraka sana.
 
Wakuu Mama Amesema Hakuna Kupoa Wala Kutulia Chini.
.
Rais Samia Kesho Jumatano atafungua ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Julius Nyerere kilichopo Kibaha mkoani Pwani.
.
Viongozi mbalimbali wa chama tawala na Serikali wameshiriki Ufunguzi huo, wakiwemo viongozi mbalimbali wa vyama vya ANC (Afrika Kusini), Swapo (Namibia), MPLA ( Zimbabwe), Frelimo (Msumbiji) na ZANU-PF.
.
Ufunguzi huo pia unatarajia kushuhudiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama cha Kikomunisti cha Watu wa China (CPC), Song Tao.
.
Akizungumza leo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Shaka amesema chuo hicho kitakuwa kikiwaandaa viongozi na kuwapika makada wa chama hicho na vyama vingine vilivyoshiriki harakati za ukombozi kusini mwa bara la Afrika.
.
Shaka amesema, Hiki ni chuo cha CCM chenye lengo la kuwanoa viongozi wa chama kama ilivyokuwa miaka ya nyuma kwa hiyo tunatarajia darasa la mwanzo kabisa kuanza 2022 kitakapokamilika, amesema.
.
Hakuna Kupoa, Hangaya Hataki utani Kabisa
Walitendee Haki hilo Jina la Mwl Nyerere
 
Kuna watu walitaka kuona Hati Magufuli akitembea huko Duniani kuinganisha Dunia wasijue kwamba kuna mabalozi kibao kila kona na ndio kazi yao ya kwanza.

Lakini pia hajui kipindi cha Magufuli ndio kipindi ambacho balozi mpya nza nje ya nchi ikiwemo Israel zilifunguliwa za kutosha.

Kingine ni Hicho chuo hapo kibaha leo - Unjenzi wa shule ya Uongozi ya Kimataifa sasa umekamilika, nchi mbalimbali zitaleta wanafunzi pale wajifunze. Mataifa mengi sana yanafutatilia hilo tukio, na mataifa mengine kama China na nchi za SADC ziko pale.

Kazi kweni sasa ambao mlizani Magufuli alikuwa hainganishi Tanzania na Dunia.

Mungu wa Mbinguni awatunze nyote.
 
Kuna watu walitaka kuona Hati Magufuli akitembea huko Duniani kuinganisha Dunia wasijue kwamba kuna mabalozi kibao kila kona na ndio kazi yao ya kwanza.

Lakini pia hajui kipindi cha Magufuli ndio kipindi ambacho balozi mpya nza nje ya nchi ikiwemo Israel zilifunguliwa za kutosha.

Kingine ni Hicho chuo hapo kibaha leo - Unjenzi wa shule ya Uongozi ya Kimataifa sasa umekamilika, nchi mbalimbali zitaleta wanafunzi pale wajifunze. Mataifa mengi sana yanafutatilia hilo tukio, na mataifa mengine kama China na nchi za SADC ziko pale.

Kazi kweni sasa ambao mlizani Magufuli alikuwa hainganishi Tanzania na Dunia.

Mungu wa Mbinguni awatunze nyote.
"Muliobeza" na "Munaona" - atakuwa anatoka wapi huyu?
 
Back
Top Bottom