28 September 2024
View: https://m.youtube.com/watch?v=Q_op3a827-s
Rais Samia mgeni rasmi mkutano wa Jumuiya ya Kiislamu Shia TMSC. Hayo yamebainishwa na makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiislamu Shia TMSC sheikh Habibu Mbota.
Mkutano huo mkubwa wa kitaifa utahudhuriwa wajumbe zaidi ya 400 wa mikoa kutoka bara na visiwani kuboresha katiba ya Tanzania Shia Community kuelekea mkutano wake mkuu
Mmomonyoko wa maadili katika taifa letu utazungumzia mambo pamoja masuala mbalimbali yanayoendelea nchini kama amani kuekekea uchaguzi unaokuja November 2024. Pia changamoto ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.
View: https://m.youtube.com/watch?v=Q_op3a827-s
Rais Samia mgeni rasmi mkutano wa Jumuiya ya Kiislamu Shia TMSC. Hayo yamebainishwa na makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiislamu Shia TMSC sheikh Habibu Mbota.
Mkutano huo mkubwa wa kitaifa utahudhuriwa wajumbe zaidi ya 400 wa mikoa kutoka bara na visiwani kuboresha katiba ya Tanzania Shia Community kuelekea mkutano wake mkuu
Mmomonyoko wa maadili katika taifa letu utazungumzia mambo pamoja masuala mbalimbali yanayoendelea nchini kama amani kuekekea uchaguzi unaokuja November 2024. Pia changamoto ya utekaji na mauaji yanayoendelea nchini.