Mbona mimi ni mshia na nina mwamini Muhamad kama mtume.Raisi laiti ungejua itikadi za hao mashia usingejaribu ata kuwasogelea mashia ni watu waovu sanaa kwa undani wao lkn kwa nje wanaonekana ni wema
Kwanza Mashia hawamuamini Muhammad kama mtume wao na pia wanaipinga Quran na mengine mengi tu
Kinachoendelea kule lebanon na yemen wale ni mashia wa kihouthi ambao wanawaulisha wenzao na kuiharibu miji mashia ni watu wajinga sanaa
Duuh! Umetisha sana mleta mada. Kumbe hiyo TMSC ni jukwaa tu litakalotumiwa na huyu Mbata kupenyeza ajenda za CCMTOKA MAKTABA :
31 December 2021
KAZI NI KUTEKELEZA ILANI NA SIO KUWALINGANISHA VIONGOZI December
View attachment 3109896
Picha maktaba : Katibu wa Hamasa wa CCM mkoa wa Tanga Habibu Mbota (pichani)
Habibu Mbota amesema huu sio wakati muafaka wa kuwalinganisha viongozi aliyepo madarakani na ambae hayupo madarakani.
Mbota ameyasema hayo wakati akizungumza na wanachama na viongozi wa Chama cha mapinduzi katika wilaya ya Lushoto mkoani Tanga.
Habibu Mbota amesema kazi iliyopo ni kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi na hakuna jambo lingine lolote kwa sasa kuhakikisha nchi inakua na maendeleo.
"Tunayo azma moja ya utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi , hatuna azma ya kuanza kufanya tathmini ya aliyekuwa madarakani na asiyekuwa madarakani, huu sio wakati wake wakati wake ni aliyeondoka ni sisi na aliyepo ni sisi"alisema Mbota.
Ameongeza kuwa ni wajibu wa kila mjumbe kuhakikisha anatoa sapoti kwa Mh.Rais kuhakikisha nchi inasonga mbele.
"Ni wajibu wetu wa kila mwanachama kuhakikisha Mama yetu atimize malengo anahamu kubwa kuona Taifa linasonga mbele kutoka hapa tulipo"alisema Mbota.
Pia ameeleza kuwa Mohamed Salim Ratco kuwa ni mmoja wa kiongozi ambaye amekuwa karibu na wanachama na wananchi kwa ujumla,na kuwataka wazee wa Lushoto kuendelea kuwashauri viongozi wa Chama pamoja na wabunge ili kuendelea kuwa na hazina ya wanachama katika siku zijazo.
Mbele ya maslahi hawa wavivu lazima wakubali hapo atakuwa amepeleka chochote alichochota serikaliniWaislam mnatuchanganya sasa sisi mnasemaga kiislam mwanamke kusimama na kuhutubia wanaume kuwa ni Haram? Sasa hii nini tena s
Ndiyo maana Israel inawatafuna haswaRaisi laiti ungejua itikadi za hao mashia usingejaribu ata kuwasogelea mashia ni watu waovu sanaa kwa undani wao lkn kwa nje wanaonekana ni wema
Kwanza Mashia hawamuamini Muhammad kama mtume wao na pia wanaipinga Quran na mengine mengi tu
Kinachoendelea kule lebanon na yemen wale ni mashia wa kihouthi ambao wanawaulisha wenzao na kuiharibu miji mashia ni watu wajinga sanaa
Watu wanapenda mikateMbele ya maslahi hawa wavivu lazima wakubali hapo atakuwa amepeleka chochote alichochota serikalini
Huyu mbota na makoti mawili Koti la siasa na la dini hatari sanaTOKA MAKTABA :
31 December 2021
KAZI NI KUTEKELEZA ILANI NA SIO KUWALINGANISHA VIONGOZI December
View attachment 3109896
Picha maktaba : Katibu wa Hamasa wa CCM mkoa wa Tanga Habibu Mbota (pichani)
Habibu Mbota amesema huu sio wakati muafaka wa kuwalinganisha viongozi aliyepo madarakani na ambae hayupo madarakani.
Mbota ameyasema hayo wakati akizungumza na wanachama na viongozi wa Chama cha mapinduzi katika wilaya ya Lushoto mkoani Tanga.
Habibu Mbota amesema kazi iliyopo ni kutekeleza ilani ya Chama cha Mapinduzi na hakuna jambo lingine lolote kwa sasa kuhakikisha nchi inakua na maendeleo.
"Tunayo azma moja ya utekelezaji wa ilani ya Chama cha Mapinduzi , hatuna azma ya kuanza kufanya tathmini ya aliyekuwa madarakani na asiyekuwa madarakani, huu sio wakati wake wakati wake ni aliyeondoka ni sisi na aliyepo ni sisi"alisema Mbota.
Ameongeza kuwa ni wajibu wa kila mjumbe kuhakikisha anatoa sapoti kwa Mh.Rais kuhakikisha nchi inasonga mbele.
"Ni wajibu wetu wa kila mwanachama kuhakikisha Mama yetu atimize malengo anahamu kubwa kuona Taifa linasonga mbele kutoka hapa tulipo"alisema Mbota.
Pia ameeleza kuwa Mohamed Salim Ratco kuwa ni mmoja wa kiongozi ambaye amekuwa karibu na wanachama na wananchi kwa ujumla,na kuwataka wazee wa Lushoto kuendelea kuwashauri viongozi wa Chama pamoja na wabunge ili kuendelea kuwa na hazina ya wanachama katika siku zijazo.
Na kufuturuWatu wanapenda mikate
Rais Samia mgeni rasmi mkutano wa Jumuiya ya Kiislamu Shia TMSC. Hayo yamebainishwa na makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Kiislamu Shia TMSC sheikh Habibu Mbota.
hamas na hizbollah karibuni tuyatinge humuu mazee