Pre GE2025 Rais Samia kuwa mgeni rasmi wa kwenye tuzo za Tanzania Comedy Awards

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huyu mama anahangaika sana na atahangaika sana mwaka huu. Hii inaitwa Tundu Lissu effect.
 
Hakuna tofauti na Waziri anayekwenda airport kupokea maiti.

Anahudhuria kama Rais mtumishi wa Watanzania au kama mtu binafsi?
 
Na yeye ashiriki kama kituko kinachochekesha
 
Duh mama anakaba kote😂😂😂
 
Usanii usanii tu mko kama Kinshasa

Ova
 
Acha awape hamasa, maana hiyo nayo ni ajira kwa siku hizi.
Sisi tunagawana pesa ndani ya familia huku tukiamini hizo ndio ajira. Nenda Kwa jirani kavune pesa leta nyumbani.
Jamii ya China, wahindi watanielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…