03 February 2025
Dar es Salaam, Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC
Dar es salaam kupokea marais wa nchi za sadc na eac kujadili mgogoro wa nchi ya dr congo
Mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utafanyika Ijumaa na Jumamosi kuhusu mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Hii inafuatia makubaliano kati ya Mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na Mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya.
"Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC," Rais Ruto alisema.
MORE INFO :
Baada ya M23 Kunyakua pande la jimbo la Kivu ya Kaskazini uliopo mji wa Goma na kuonekana kuelekea Kivu ya Kusini mjini wa Bukavu.
Marais wa kanda za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wale wa nchi za Kusini SADC wamependekeza pande mbili katika mgogoro wa ndani wa DR Congo wa kujongea katika meza ya mazungumzo kutafuta utatuzi wa kudumu
Pia soma
- Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu
A joint summit of the Southern African Development Community (SADC) and the East African Community (EAC) will take place in Dar es Salaam, Tanzania
View: https://m.youtube.com/watch?v=ImbnMrR2NXs
03 February 2025
Les présidents congolais Félix Tshisekedi et rwandais Paul Kagame doivent participer ce week-end en Tanzanie à un sommet régional extraordinaire sur la guerre dans l'est de la RD Congo.
Dar es Salaam, Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC
Dar es salaam kupokea marais wa nchi za sadc na eac kujadili mgogoro wa nchi ya dr congo
Mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utafanyika Ijumaa na Jumamosi kuhusu mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Hii inafuatia makubaliano kati ya Mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na Mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya.
"Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC," Rais Ruto alisema.
MORE INFO :
Baada ya M23 Kunyakua pande la jimbo la Kivu ya Kaskazini uliopo mji wa Goma na kuonekana kuelekea Kivu ya Kusini mjini wa Bukavu.
Marais wa kanda za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wale wa nchi za Kusini SADC wamependekeza pande mbili katika mgogoro wa ndani wa DR Congo wa kujongea katika meza ya mazungumzo kutafuta utatuzi wa kudumu
Pia soma
- Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu
A joint summit of the Southern African Development Community (SADC) and the East African Community (EAC) will take place in Dar es Salaam, Tanzania
View: https://m.youtube.com/watch?v=ImbnMrR2NXs
03 February 2025
Les présidents congolais Félix Tshisekedi et rwandais Paul Kagame doivent participer ce week-end en Tanzanie à un sommet régional extraordinaire sur la guerre dans l'est de la RD Congo.