Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Huo mkutano wawe makini kuna watu watanyunyiziwa sumu kama ilivyotokea kimakosa kwa Dr. Omary Ali Juma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagame ushujaa wake akirudi kwake tu!Wanaweza pigana kwenye meza ya mazungumzo hawa...
Cha msingi Tshisekedi usikubali ku-bow-down kwa huyu mlingoti wa ka jimbo kanakopakana na Kigoma..
Ubavu wake ni akiwa kwake ndiyo huwa anatoa maneno ya kejeli na kujiona mwamba.PK hawezi tokea.
Atatuma muwakilishi.
Hawezi kukoroma akiwa na wababe ataaibika.Kagame ushujaa wake akirudi kwake tu!
Ila akiwa kwenye meza ya mazungumzo na wenzake hawezi kuwa mbabe na hajawahi kuwa mbabe.
Huyo ni kama Zelensky, akiwa mbali na Putin anaongea maneno mengi. Wakiwekwa meza moja anakuwa mpole kama mtoto mdogo.Kagame asiwekwe siti ya karibu na Ramaphosa wanaweza pigana ngumi live wale
Na sidhani kama kweli atakuja.Hawezi kukoroma akiwa na wababe ataaibika.
Kwa namna yeyote atatuma muwakilishi, hatokuja..Na sidhani kama kweli atakuja.
Kuhusu rais wa Congo tunajua atakuja.
Ni poyoyo kama kuku wa broilerUbavu wake ni akiwa kwake ndiyo huwa anatoa maneno ya kejeli na kujiona mwamba.
Ila akiwa na marais wenzake huwa hawezi.
...keshajifia miaka mingi iliyopita. Kibaya zaidi hata kaburi lake halijulikani lilipo, angalau watu wangeenda kutambika ili kuiondoa hii nuksi.Waafrika kwanini tunapenda vita kuliko maendeleo alie turoga mama…e
Ndo manaakekwa hiyo Ijumaa no JOB tena?
Sidhani kama atahudhuria aiseeHuyu huyu paulo aje Dar kusuluhisha mgogoro? Ngoja tuone
Rwanda ndo mwakilishi waoViongozi wa Congo River Alliance nao ni vizuri waalilwe ili mazungumzo baina Serikali ya DRC yaanze na pande zote ziaminiane.
Viongozi wao sio ni Wakongo.Rwanda ndo mwakilishi wao