Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Rais Samia kuwa mwenyeji wa mkutano wa marais wa nchi za SADC na EAC kujadili Mgogoro wa DR Congo

Uthibitisho wa wawili hao kukutana umetolewa na Rais William Ruto wa Kenya, Februari 3, 2025.
Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Paul Kagame wa Rwanda, wanatarajia kukutana jijini Dar es Salaam, Februari 8, 2025 kujadili mustakabali wa hali ya usalama katika eneo la Mashariki mwa DRC.

Taarifa iliyotolewa na Rais wa Kenya William Ruto, wawili hao watakutana katika mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), baada ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kuridhia nchi yake kuwa mwenyeji wa mkutano huo.

Hatua hiyo inafuatia makubaliana kati ya mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na Rais William Ruto wa Kenya, ambaye pia ni mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya EAC.
“Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kuwa mwenyeji wa mkutano huo ambao unalenga kutafuta suluhu ya mgogoro wa Mashariki mwa DRC," alisema Rais Ruto.

Kulingana na Rais Ruto, wawili hao wamethibitisha uwepo wao kwenye mkutano huo wa pamoja ambao utatanguliwa na mkutano wa mawaziri siku ya Ijumaa, kabla ya Wakuu wa EAC na SADC hawajakutana siku ya Februari 8, 2025.
Rais Ruto pia amesemsa kuwa amewashirikisha jambo hilo Marais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Yoweri Museveni wa Uganda na Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia.
Hapo ndiyo pa kuhakikisha Marshall Mothers A Real Slim Shady Eminem anarudi kwao akiwa kwenye sanduku la posta
 
Tanzania tusingekubali kuhost mkutano huo ili kulinda hadhi na heshima ya Nchi Kimataifa.
Ni vipi kama baada ya mkutano ndege ya Kedi na Rama zikapotea mawasiliano kwenye Rada?. Au ndege ya Kagame?.Nakumbuka ndege ya rais wa Rwanda na Burundi; hata ile ya Samora zilikuwa zinatokea Dar kwenye Mkutano
Samora alikuwa akitokea Lusaka, Zambia.
 
03 February 2025

Congolese, Rwandan presidents set to attend 2-day talks on Goma

Dar Es Salaam To Host A Crucial Meeting On Eastern Congo Crisis


Paul Kagame, respectively, the two main leaders in the escalating conflict in eastern Congo, will attend an extraordinary summit in the Tanzanian city of Dar es Salaam to address the armed conflict, Kenyan President William Ruto announced on Monday.

Earlier, Congolese officials declined to engage with Kagame during an East African Community summit, citing allegations that Rwanda supports M23 rebels.

The extraordinary summit, scheduled for Friday and Saturday, will bring together heads of state from the 6-member East African Community (EAC) and the 16-member Southern African Development Community (SADC) to discuss regional security and diplomatic interventions.

The meeting follows an agreement reached by SADC Chairperson and Zimbabwean President Emmerson Mnangagwa, as well as EAC Chairperson and Kenyan President William Ruto.


"President Samia Suluhu Hassan has graciously agreed to host the summit to deliberate on the situation in Eastern DRC,” Ruto said in a statement released by the presidency.

South African President Cyril Ramaphosa is also expected to attend, as are Ugandan President Yoweri Museveni and Somali President Hassan Sheikh Mohamud.

The summit comes as the situation in eastern Congo worsens, with intensified fighting between M23 rebels and the Congolese army, forcing thousands to flee and raising concerns about regional security and humanitarian aid.

The conflict has led to significant casualties and displacement, with the UN reporting at least 700 deaths and 2,800 injuries over five days. Additionally, at least 20 peacekeepers have been killed, including 14 from South Africa.
 
30 January 2025
New York
Makao Makuu ya UN

KINSHASA YATAKA JUMUIYA YA KIMATAIFA KUIWEKEE RWANDA VIKWAZO VYA KIUCHUMI NA SILAHA


View: https://m.youtube.com/watch?v=fHuzPWwW3dg

Madame mheshimiwa Thérèse Kayikwamba Wagner waziri wa mambo ya nje wa DR Congo akizungumza mara baada ya kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la UN na wajumbe wa kudumu wa baraza yaani nchi tano P5, Congo ameiomba jumuiya ya kimataifa ifanye yafuatayo
  • Kuiwekea vikwazo vya silaha Rwanda
  • Kuwekea vikwazo kwa madini yote yanayosafirishwa nje yaliyowekwa nembo na lakiri kuwa yanatoka Rwanda kwa kuwa yameporwa Congo
  • Congo DR yaipongeza Germany kwa kusitisha misaada ya maendeleo kwa Rwanda ingawa kwa sasa siyo member wa Baraza la Usalama la UN
  • Ni jukumu lake DR Congo kusisitiza uharama wa Rwanda kuingilia sovereignty ya DR Congo, uvamizi na kusababishwa mamia wakimbizi wa ndani kutokea nchini Congo, watu kukosa nishati ya umeme, maji na usafiri
  • Congo inapendekeza Rwanda kufurushwa kutoka kutoa Majeshi ya Amani chini ya mwamvuli wa UN sehemu zingine za dunia wakati Rwanda inashambulia vikosi vya amani vya UN vya MONUSCO vilivyopo Goma jimbo la Kivu ya Kaskazini Congo
Thérèse Kayikwamba Wagner waziri wa mambo ya nje wa DR Congo akiwa na interview mfululizo kuhusu hali ya usalama na ulinzi nchini DR Congo kwa sasa kwa mujibu wa serikali ya Rais Felix Tshisekedi


View: https://m.youtube.com/watch?v=Oslp1KvRinQ
 
Kwa hiyo barabara zitafungwa tena DSM!

Kama vipi PK akitokea Dar afanyiwe umafia uleule wa mtangulizi wake Habyarimana!
 
03 February 2025
Dar es Salaam, Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC

DAR ES SALAAM KUPOKEA MARAIS WA NCHI ZA SADC NA EAC KUJADILI MGOGORO WA NCHI YA DR CONGO

Mkutano wa pamoja wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) utafanyika Ijumaa na Jumamosi kuhusu mzozo wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo jijini Dar es Salaam, Tanzania.

Hii inafuatia makubaliano kati ya Mwenyekiti wa SADC Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe na Mwenyekiti wa EAC Rais William Ruto wa Kenya.
"Rais Samia Suluhu Hassan amekubali kwa ukarimu kuandaa mkutano huo kujadili hali ya Mashariki mwa DRC," Rais Ruto alisema.


MORE INFO :
Baada ya M23 Kunyakua pande la jimbo la Kivu ya Kaskazini uliopo mji wa Goma na kuonekana kuelekea Kivu ya Kusini mjini wa Bukavu.

Marais wa kanda za Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wale wa nchi za Kusini SADC wamependekeza pande mbili katika mgogoro wa ndani wa DR Congo wa kujongea katika meza ya mazungumzo kutafuta utatuzi wa kudumu

Pia soma
- Waasi wa M23 sasa waelekea mji wa Bukavu
Ameweza kupatanishwa na CHADEMA?
 
Back
Top Bottom